Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,595
Imekua ni kawaida kwa Vijana wengi kuoa mapema kuanzia miaka 20-25 tatizo wengi wanaolea nyumbani kwa wazazi unakuta nyumba vyumba vitatu Babu, Bibi, Baba, Mama na Wajukuu wengi mithili ya vifaranga wa Tai.
Wote wanaishi hapo nyumbani. Muda ambao kijana alitakiwa kutafuta maisha ndio analazimishwa kuoa na kulewa hii imeleta sana umasikini haswa mikoa ya Lindi, Mtwara, Singida, Dodoma na Tanga ndugu zangu acheni vijana wajitafute ndoa sio maendeleo ni hatua tu ya kawaida kwenye maisha.
Wote wanaishi hapo nyumbani. Muda ambao kijana alitakiwa kutafuta maisha ndio analazimishwa kuoa na kulewa hii imeleta sana umasikini haswa mikoa ya Lindi, Mtwara, Singida, Dodoma na Tanga ndugu zangu acheni vijana wajitafute ndoa sio maendeleo ni hatua tu ya kawaida kwenye maisha.