tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 19,956
- 25,181
naendeleza alphabetical order mkuu.Hivi uli handle vip Ile mada ya kuwa et nawe ni wale waliotajwa na konki?Ni swali mzee baba?
naendeleza alphabetical order mkuu.Hivi uli handle vip Ile mada ya kuwa et nawe ni wale waliotajwa na konki?Ni swali mzee baba?
Sijui nimelewa ngoja kwanza
hilo gari dereva alikaa wapi ?
Ni Yabisi au Gesi?
Lala kesho nitakuelewesha vizuri.
Ili ulale zinahitajika hela?
huyo shetani yupo wapi namtafutaHaya mambo hayana formular, bora shetani unayemfahamu kuliko malaika usomjua.
Itakuwa mods waliufuta na jamaa kapata ban ya milele.Kuna uzi uliletwa two months ago.Et "Hii ndo list ya mashoga jf"Halafu Yule mpuuzi akaweka na daby!!!Sikuiona mzee naomba unitajie uzi nikasome.
Unataka akudanganye na wewe?huyo shetani yupo wapi namtafuta
alimdanganya adam