Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,101
- 158,939
Thubutuuu!! Story tu, muue mna ubavu!!!Ila jamaa jasiri kuliko hata masai wanaoua Simba kwa mkuki.
Thubutuuu!! Story tu, muue mna ubavu!!!Ila jamaa jasiri kuliko hata masai wanaoua Simba kwa mkuki.
Sasa sina pesa usingizi unakujaje!!Unahitajika kuwa kivutio cha watalii..
Binadamu pekee anayesinzia tu pindi apatapo pesa.
alimtuma mwanamke akanidanganya maana ndo wanaoongea naoUnataka akudanganye na wewe?
Sikuona aseeh.... Vijana wa humu zimewaruka.Itakuwa mods waliufuta na jamaa kapata ban ya milele.Kuna uzi uliletwa two months ago.Et "Hii ndo list ya mashoga jf"Halafu Yule mpuuzi akaweka na daby!!!
Nani kakudanyanya huyo!! Japo tumeachana ila bado sitaki ukose furaha.alimtuma mwanamke akanidanganya maana ndo wanaoongea nao
Kweli kabisa.Mkuu ishu ni mapenzi,unaambiwa kupenda ni kama upofu ..
ngoja kwanza kwani mwanamke na shetani si walipiga storiHaya mambo hayana formular, bora shetani unayemfahamu kuliko malaika usomjua.
Me nikajua uliuona.Anyway potezea kaka.Tuendelee ku enjoy Kwa namna tunataka humu ndani.Sikuona aseeh.... Vijana wa humu zimewaruka.
Ila mambo ya humu nayachukulia kawaida tu. Shukrani kwa kunijulisha.
Hahahaaaa!! Hapana, ni maadui wakubwa sana tangu amdanganye mwanamke. We unadhani kuzaa kwa uchungu na kutawaliwa na mwanaume mchezo!!!ngoja kwanza kwani mwanamke na shetani si walipiga stori
kwa hiyo ni marafiki
sitakiwi niwe na furahaNani kakudanyanya huyo!! Japo tumeachana ila bado sitaki ukose furaha.
sitakiwi niwe na furaha
yaani vifungo nilivyonavyo ni vya makoti
yaani sishindi
Duuh!
Sisi tuliopo Dubai jeUSIKU MWEMA KWA WALIOKO AFRICA
unataka utawaliwe na nani ?Hahahaaaa!! Hapana, ni maadui wakubwa sana tangu amdanganye mwanamke. We unadhani kuzaa kwa uchungu na kutawaliwa na mwanaume mchezo!!!
1: sio fasihiHii ni fasihi
Nani hataki uwe na furaha?
Nani kakufunga?
unataka utawaliwe na nani ?
Mungu alimuumba adam ili amtawale hawa ila hawa akajifanya kichwa ngumu kumbe hamna kitu mpaka leo tungekuwa uchi bustani ya EdenNa Mungu.