Mungu alimuumba adam ili amtawale hawa ila hawa akajifanya kichwa ngumu kumbe hamna kitu mpaka leo tungekuwa uchi bustani ya Eden
Bambi Bambii
usiniambie adam alikuwa hana akiliNa Adamu angekuwa na akili angemuokoa Hawa, hadi leo tungekuwa tunakula bata Eden.
Ndio basi tena tunapambana na hali zetu.
usiniambie adam alikuwa hana akili
na eden tungekuwa tunakula matunda tu bata noo
ulimwita ili iweje ?Ndio unanidolishia?
ulimwita ili iweje ?
asili yetu ni Italy pale Bologna Emilia-RomagnaHaya.
Sijui binti wa nani ambae atakuwa kajichoka hivyo!!!
mambiyooo saint
asili yetu ni Italy pale Bologna Emilia-Romagna
nataka uelewe kwetu panaitwaje na jirani yangu Giorgio Chielin na Gianluig DonnarumaHataa sijakataa.
nataka uelewe kwetu panaitwaje na jirani yangu Giorgio Chielin na Gianluig Donnaruma