Bado unanwita mke?Mke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.
Ushauri, nifanye nini?
Analala na mafaili kitandani mkuu?Mke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.
Ushauri, nifanye nini?
Word! [emoji122][emoji122][emoji122]Kunahitajika jitihada za haraka kuinusuru ndoa yako, kaa na mkeo mzungumzie hilo suala maana mnatakiwa kuishi kwa umoja na ushirika
Mkuu kuwa na lugha za kisheria kumbuka = RejeaKumbuka kiapo chako cha ndoa
pole saana mkuu,najua utaumia sana kwa michango ya wanaJF,ila ukweli utabaki kuwa ukweli.Mke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.
Ushauri, nifanye nini?
KigamboniAkikutana na walevi kama sisi kila ukimuagiza bia lazime umshike kidogo,umpige trakoo kwa mbalii!
Polee sana mkuu,Bar ipo maeneo gani nikamuungishe shemeji
Pub yake ipo wapi?
Asante Sana mkuu,nimekupata vyemapole saana mkuu,najua utaumia sana kwa michango ya wanaJF,ila ukweli utabaki kuwa ukweli.
mwanamke akishaanza kuingiza kipato hasa ktk biashara hizo na yeeye ndiye mmiliki wa pub ni hatari sana kwa afya ya ndoa/mahusiano yako. ni bora angekuwa muajiriwa yaani bar med,kuliko kuwa yeye ndiye owner.
machungu na mapenzi yote jkahamishia kwenye hiyo biashara na ni ngumu sana tena sanakuitofautisha biashara na wateja wake.
hapo wewe ni ngumu sana hata kwenda sababu wateja wa bia /pombe ni wanavutika kwa mambo zaidi ya bia wanazonunua na mfano halisi angalia bar hii leo inajaza keshokutwa inapwaya ujue wateja wameshakula mbegu zimeisha sasa wanahamia mti mwingine wenye matunda mazuri. so,hata huyo shem bado anajiona anapendwa,sasa akishaliwa liwa wakamhama hao wateja atajikuta mteja uliyebakia ni wewe tu.
sasa,amua kati ya haya MOJA ,tumia uanaume wako kuifunga hiyo bness,PILI,amua kukaa tu kimya liwalo na liwe na TATU,shirikisha kikao cha wanandugu au mshenga au kiongozi wa imani yako ,mkikosa suruhu tenganeni kwa muda...maana kitakachofuata hapo ni kupeana maradhi...
haya mambo tunayaona sana mtaani huku...hilo ni pigo mkuu
Na Bado unajihesabia una ndoaMke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.
Ushauri, nifanye nini?
Kinyume chake ni next to impossible.Ndo maana mwanaume mwenye PhD au degree anaweza kumuoa mwanamke std seven na maisha yakaenda au tajiri wa kiume akaoa maskin wa kike maisha yakaenda Ila kinyume chake ni nidra sana kutokea
Muombe mkae chini muongee nani atabaki na watoto na jinsi mtakavyowalea maana hapo ndoa haipoMke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.
Ushauri, nifanye nini?
Vituko vyote halafu unauliza ushauri we sio mwanaume kamiliMke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.
Ushauri, nifanye nini?