KUOA MWANAMKE MUUZA BAR/PUB

KUOA MWANAMKE MUUZA BAR/PUB

Kwanza wewe na mkeo hamna mawasiliano mazuri ya muda mrefu ndio maana kaanza kujipanga kiuchumi. Kuna mengi yameleta hili kuwa mkweli.
Saa nyingine inategemea unavyouliza ndivyo unavyojibiwa. Kwakuwa hupendi hiyo Pub usikute ukiuliza jambo unauliza kwa kashfa n.k
Halafu wewe sio mlemavu kwanini ulale chumba kama stoo? Huwezi kudeki, kupanga just your room? Unaona mkeo ni mjinga hajasafisha na wewe uliyelala kuchafu siku zote uko sawa?? My dear mmefanana kabisa.
 
Acha utoto anatafuta hela cha msingi ,awe na muda na familia , ajipe limit ya muda wa kurudi home ,mshirikishe mungu kwa maombi yako
 
Mke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.

Ushauri, nifanye nini?
...nyege...nyegezi...
 
... Fikisha ilo swala mbele ya wazazi wa pande zote mbili. Itisha kikao, waambie kinachikusumbua pamoja na msimamo wako juu ya ilo swala.

... Kuhusu biashara sio lazima ifungwe, tafuteni mtu wa kuweza kuisimamia ili mkeo asiwe directly involved katika selling n serving customers.
 
Kwanza wewe na mkeo hamna mawasiliano mazuri ya muda mrefu ndio maana kaanza kujipanga kiuchumi. Kuna mengi yameleta hili kuwa mkweli.
Saa nyingine inategemea unavyouliza ndivyo unavyojibiwa. Kwakuwa hupendi hiyo Pub usikute ukiuliza jambo unauliza kwa kashfa n.k
Halafu wewe sio mlemavu kwanini ulale chumba kama stoo? Huwezi kudeki, kupanga just your room? Unaona mkeo ni mjinga hajasafisha na wewe uliyelala kuchafu siku zote uko sawa?? My dear mmefanana kabisa.

Hahahaaa atajifanya hajaiona hii comment
 
Hapo Huoni cha Kufanya? Ts a Weekend budy
 
Mke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.

Ushauri, nifanye nini?
Nenda kwa mshenga hadi kwa paroko yakishindikana jiongeze maana paroko hawezi kuwaambia muachane maana mlishapata sakramenti ya ndoa. Ukweli mimi naona mkeo kafika pabaya na mnaweza achana huyo ni tapeli na kuna kundi baya analo.
 
We utakuwa marioo mkeo alikuwa anakulea mkuu mke anayejielewa hawezi fungus biashara bila kushauriana na mumewe
 
Back
Top Bottom