DamianMalle
Member
- Jul 16, 2018
- 56
- 54
- Thread starter
- #21
Shukrani sana
Pole sana mkuu
Pole sana mkuu
Muache haraka sana....Mke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.
Ushauri, nifanye nini?
Pole sana, lakini nikulize kitu mpaka mkeo anafungua pub wewe ulikuwa wapi? Au ndiyo yale haujulikani saangapi unakuwa mke au baba, maana kama ulikuwa upo naye kwakila kitu halafu yeye akafanya alioyafanya! Maana wanaume wengi mkioa wake zenu mnaona kama mfugo ndani mnawapuuza mtu mpaka afungue biashara upo tu
Asante,Kwani Ndoa ya Kikatoliki Si Ndie Yenye Kipengele Cha Kuto Achana?.
Dah! Pole Sana Mkuu.
Njia ndefu hiyo....Unasubiri barua ya mwenyekiti wa kijiji hili kuthibitisha kuwa mkeo hakupendi?
Waite wazazi wake na yeye akiwepo wambie ukweli na msimamo wako iwapo hatabadili tabia.
Halafu kuwa mkali hili ijulikane humo ndani mwanaume ni nani.
Kaza sura
Kaza sauti.
Pole sana, lakini nikulize kitu mpaka mkeo anafungua pub wewe ulikuwa wapi? Au ndiyo yale haujulikani saangapi unakuwa mke au baba, maana kama ulikuwa upo naye kwakila kitu halafu yeye akafanya alioyafanya! Maana wanaume wengi mkioa wake zenu mnaona kama mfugo ndani mnawapuuza mtu mpaka afungue biashara upo tu
Mke amefungua pub bila kunishirikisha na anauza mwenyewe kama bar maid nyumba imewaka moto Sababu mke amekua jeuri na kiburi,so aggressive hakuna unachouliza ukajibiwa kistaarabu. Kila mteja anayeenda pale akiomba namba anapewa tu bila shida yupo bize muda wote ni pub pub na `wateja wake" kama anavyowaita hajali familia wala ndoa tena nyumba,chumba chakulala kimekua km stoo kitanda ndio usiseme hajali na imefikia hatua naambiwa nisifike hata kwenye biashara yake sababu namfukuzia wateja wake.
Tupo kwenye ndoa yakikatoliki mwaka wa 4 sasa na tuna watoto wawili wadogo 4yrs na 2yrs.
Ushauri, nifanye nini?
Kuna watu wana siri ndani ya ndoa hata shetani anawashangaa. Kuna watu waume/wake wamejenga na wala wenzi wao hawajui, and they're just close...
Binadamu ni kiumbe wa ajabu sana kutokea duniani...!