Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,677
- 71,488
Kwasabau napenda mwanaume anizidi umri mkuuKwanini mkuu??
Kwasabau napenda mwanaume anizidi umri mkuuKwanini mkuu??
Unasema tu kwavile ni kwenye keyboard itokee mtu akuchumbue ukatae wakati anakuondolea mkosi😂😂😂😂Nakataa
Kuna madhara yoyote asipokuzidi umri??Kwasabau napenda mwanaume anizidi umri mkuu
Unasema tu kwavile ni kwenye keyboard itokee mtu akuchumbue ukatae wakati anakuondolea mkosi😂😂😂😂
Mila za kiafrika mwanamke kuolewa ni heshima hata ninyi mnalifahamu Hilo, tatizo unataka kuwa mkali wakati inafahamu Fika kuwa ndoa ni physical address toshaIla wabongo bhana,yani huna uhakika na status yangu halafu unaongea habari za ndoa...kwa hiyo kuolewa ni kuondolewa mkosi?
Olewa wewe basi manake mikosi imekuandama
Mila za kiafrika mwanamke kuolewa ni heshima hata ninyi mnalifahamu Hilo, tatizo unataka kuwa mkali wakati inafahamu Fika kuwa ndoa ni physical address tosha
Njoo nikuoeSawa,olewa wewe
Duuu,jaribu kubadili mitazamo yako dadayangu,change is the law of life,unaweza kutana nmatu mnamatch each and every thing ,cjui machemistry5 huko lkn,inshu ikawa umri,huu niubaguzi kama ubaguzi aliokua akiuzungumzi mwl Nyerere juu ya kabila lawakara Kua raisNasikia wanasema umri ni namba tu
Lakini kwangu mie kuwa na mahusiano na mwanaume niliyemzidi umri siwezi
Tafuta wa kukuoaNjoo nikuoe
Nakutaka wewe nikuondolee mkosi maana Kwa huo mdomo mchafu huwezi hakuna atakayekuvumilia zaidi yanguTafuta wa kukuoa
Uko Makini Sana chief ,hua nakufatilia SanaBaby Mama wangu alonipa Mtoto wakwanza ni Mkubwa kwangu wa miaka 3.
Huyu Baby Mama ambaye ndio Wife kanizidi miaka 2.
Haya , Njooo uniulize maswali yote nikujibu !! .
Kwanza nianze kwa kuuliza..
Huyo Mwanamke Ana miaka mingapi nawewe una miaka mingapi ???
Usije kua una 23 alafu Dem ana 25...wote bado mkawa bado ni watoto walochangamka..
Brother uko Makini nakuombea kwaMunhu,unapoint zinafaa Sana kwadunia yasasaSuala la Kuishi na Mwanamke kama Mkeo ndani.
UNAHITAJIKA WEWE MWANAUME, UWE MWANAUME KUANZIA KICHWANI. UPAMBANAJI WA MAISHA, HESHIMA.
yaaan ndani ya NYUMBA, ajue na majiran wajue
Wewe ndo Mzee wa NYUMBA.
Wewe ndo Mwenye majukumu ya NYUMBA yako.
Wewe ndio Mumewe, kwamba ana WAJIBIKA KUKUHESHIMU SANA, KUKUJALI, KUKUSIKILIZA, KAMA MUME, BABA, NA MTU UNAYEMWEKA MJINI HAPA.
AFUATE UNACHOSEMA YAAN AWE MTIIFU KWAKO ( ukisema this time hamna kwenda uchagani, nayeye HAENDI ) .
Uonekane wewe ndio Mfalme. MKOLONI n.k
UKIFELI HAYO MACHACHE ...HATA KAMA UMEMZIDI MIAKA 10. atakufanya uwe Kichaa !!
UMRI HAULINDI MAHUSIANO/NDOA. BALI AKILI.
Ukifanikiwa kuolewa jitahidi kuwa muelewa....mume hapendi kubishiwaNakutaka wewe nikuondolee mkosi maana Kwa huo mdomo mchafu huwezi hakuna atakayekuvumilia zaidi yangu
Njoo uwe mke wa 2 nikuounguzie stress naona unahaha na jua la umri likaribia magharibiUkifanikiwa kuolewa jitahidi kuwa muelewa....mume hapendi kubishiwa
Zingatia ushauri wangu,la sivyo mume hutamuwezaNjoo uwe mke wa 2 nikuounguzie stress naona unahaha na jua la umri likaribia magharibi
Ata kama ana mihela na anagegeda vizuriNasikia wanasema umri ni namba tu
Lakini kwangu mie kuwa na mahusiano na mwanaume niliyemzidi umri siwezi
Sawa mchepuko karibu nikupe ahueni ya kuishi upunguze stress ndoa Raha nazani unaona wenzio wanavyonawiliZingatia ushauri wangu,la sivyo mume hutamuweza
Okay,kila la heri katika kutunza mume...nakuombea mdumu kama ukifanikiwa kuolewa 🙏Sawa mchepuko karibu nikupe ahueni ya kuishi upunguze stress ndoa Raha nazani unaona wenzio wanavyonawili
Wewe unahamu yabkuingiziwa matundu yote, nimeshakwambia mke ndogo nafasi Iko wazi lete maombiOkay,kila la heri katika kutunza mume...nakuombea mdumu kama ukifanikiwa kuolewa 🙏