Mangulason
Member
- Oct 31, 2019
- 77
- 77
Jamani kuoa mwanamke aliyekuzid umri ni sawa. Ushauri Jaman!
Tafuta mwanamke uliemzidi umri, huyo wako atakua hakuchukulii kama mme atakua anakuona wewe ni mdogo wake tu.Jamani kuoa mwanamke aliyekuzid umri ni sawa. Ushauri Jaman!
Au kibenteni chake.Tafuta mwanamke uliemzidi umri, huyo wako atakua hakuchukulii kama mme atakua anakuona wewe ni mdogo wake tu.
Kwanini mkuu??Nasikia wanasema umri ni namba tu
Lakini kwangu mie kuwa na mahusiano na mwanaume niliyemzidi umri siwezi
Unapenda Mwanaume akuzidi Umri au siyo??.Nasikia wanasema umri ni namba tu
Lakini kwangu mie kuwa na mahusiano na mwanaume niliyemzidi umri siwezi
Baby Mama wangu alonipa Mtoto wakwanza ni Mkubwa kwangu wa miaka 3.Jamani kuoa mwanamke aliyekuzid umri ni sawa. Ushauri Jaman!
Akitaka kukuoa utakataa?Nasikia wanasema umri ni namba tu
Lakini kwangu mie kuwa na mahusiano na mwanaume niliyemzidi umri siwezi
OaJamani kuoa mwanamke aliyekuzid umri ni sawa. Ushauri Jaman!
NakataaAkitaka kukuoa utakataa?