KUOA / KUOLEWA ....

KUOA / KUOLEWA ....

Ni muhimu na nilazima, ukitaka kuona mtoto au kijana au binti anamsadili mazuri ujue ametoka mikononi mwa baba na mama, ukiona mtoto hawezekaniki fuatilia life status yke utaambiwa, ni mtoto wa mchepuko wa mume au nje ya ndoa.

So kuoa ni muhimu kama unapenda kujenga familia nzuri na yenye maadili.
Pia biblia inasema ktk kitabu cha mwanzo Nendeni duniani mkaijaze dunia, bila kuoa/kuolewa mtaijaza VP dunia au ndo itakua chovya chovya style


Sababu za kibiblia katika kuingia katika ndoa ni sababu makini sana.

sitaki chovya chovya tena naomba tujiunge pamoja katika kuijaza hii dunia kama asemavyo BWANA
 
Ni muhimu na nilazima, ukitaka kuona mtoto au kijana au binti anamsadili mazuri ujue ametoka mikononi mwa baba na mama, ukiona mtoto hawezekaniki fuatilia life status yke utaambiwa, ni mtoto wa mchepuko wa mume au nje ya ndoa.

So kuoa ni muhimu kama unapenda kujenga familia nzuri na yenye maadili.
Pia biblia inasema ktk kitabu cha mwanzo Nendeni duniani mkaijaze dunia, bila kuoa/kuolewa mtaijaza VP dunia au ndo itakua chovya chovya style
I'm speechless.
 
Blaza umekua ukituonea sana sisi Waafrika kwa matatizo ya akili tuliyonayo.

Hebu wakati mwingine jaribu kutupatia namna ya kutufanya turidhike na haya matatizo

Mwisho nashukuru sana angalau leo hujahusisha ndoa na Chura zako
 
Jambo la lazima ina maana usipolifanya kuna madhala fulani waweza kupata.

Jambo la muhimu, ni optional - waweza fanya au usifanye na maisha yakaenda ....

Kazi kwako; - kwako ni muhimu au ni lazima?
 
Unaweza kuwa umeoa/kuolewa ila ni mzinzi,mlevi hamna mtu mtaani atakuheshimu. You earn respect u just dont get it coz u got hitched!
SIsi ambao tulisoma siasa enzi zile ... nakupa hii itakusaidia ...
"Heshima ya mtu hutokana na huduma yake kwenye jamii"

Alikuwepo mzee mmoja hapa jijini Mwanza; alikuwa mlevi masaa yote ... ila alikuwa mfamasia mzuri sana. Aliheshimika kwa kazi yake hiyo ... na alidharauliwa kwa ulevi wake!
 
SIsi ambao tulisoma siasa enzi zile ... nakupa hii itakusaidia ...
"Heshima ya mtu hutokana na huduma yake kwenye jamii"

Alikuwepo mzee mmoja hapa jijini Mwanza; alikuwa mlevi masaa yote ... ila alikuwa mfamasia mzuri sana. Aliheshimika kwa kazi yake hiyo ... na alidharauliwa kwa ulevi wake!
Ndio maana pia nikasema HUWEZI KUHESHIMIKA KWA KUWA UMEOA/KUOLEWA tu. Na wewe hii itakusaidia.
 
Kidini? dini ipi hiyo ? mbona kuna thehebu fulani viongozi wake wakuu hawaoi? ulazima unatoka wapi.

Kidunia ... hiyo naweza kubali kwa sababu kidunia hatuna katiba ya kuwa duniani, na bila kuoana kizazi kitafutika tu ...
 
Kidini? dini ipi hiyo ? mbona kuna thehebu fulani viongozi wake wakuu hawaoi? ulazima unatoka wapi.

Kidunia ... hiyo naweza kubali kwa sababu kidunia hatuna katiba ya kuwa duniani, na bila kuoana kizazi kitafutika tu ...
 
NI mpango tu wa kusaidiana kimawazo mkuu!
 
Kuna watu wanandoa lkn hawaeshimiwi na jamii zao. Kila mtu achague wapi atapata furaha yake japo ndoa ni muhimu ila sio lazima.
 
Kuna watu wanandoa lkn hawaeshimiwi na jamii zao. Kila mtu achague wapi atapata furaha yake japo ndoa ni muhimu ila sio lazima.
Umeeleweka vyema.

Wapo wanaoheshimika lakini hawana ndoa ..
Wapo wanaodharauliwa na ndoa wanazo ... hivyo kinacholeta heshima sio ndoa .. ni huduma ya mhusika kwenye jamii anamoishi.

Ila tukumbuke sio lazima kuoa / kuolewa kuwe ni kwa ndoa! Wapo watu walioa / waliolewa na wana heshima zao lakini hawajawahi kuwa na ndoa.
 
Kuna watu wanandoa lkn hawaeshimiwi na jamii zao. Kila mtu achague wapi atapata furaha yake japo ndoa ni muhimu ila sio lazima.
Umeeleweka vyema.

Wapo wanaoheshimika lakini hawana ndoa ..
Wapo wanaodharauliwa na ndoa wanazo ... hivyo kinacholeta heshima sio ndoa .. ni huduma ya mhusika kwenye jamii anamoishi.

Ila tukumbuke sio lazima kuoa / kuolewa kuwe ni kwa ndoa! Wapo watu walioa / waliolewa na wana heshima zao lakini hawajawahi kuwa na ndoa.
 
Wazazi wako waliowana au hawakuowana ?
Eh! sijui nikujibu vipi?

Bila kuoana nisingezaliwa ... ni Adam to Eva tu ndo walipatikana pasipo wazazi wao kuoana (kulingana na biblia)
Je kuoana ni muhimu au ni lazima?
 
Eh! sijui nikujibu vipi?

Bila kuoana nisingezaliwa ... ni Adam to Eva tu ndo walipatikana pasipo wazazi wao kuoana (kulingana na biblia)
Je kuoana ni muhimu au ni lazima?
Kuowa au kuolewa ni mihimu ila sio lazima,
 
Ni swali dogo lakini majibu yake yanatofautiana sana .. Hivi kuoa / kuolewa ni lazima au ni muhimu?

Nawahukuru wote mliotoa michango yenu ila kwangu mimi naona kuoa ni muhimu! Umuhimu wake ni kwa ajili ya kuendeleza kizazi.

Hata Biblia imeliongelea vyema " Ni vyema kila mwanaume na awe na mke wake" ila ikiwezekana ukaweza kujizua kuoa ni sawa. Kumbuka bora kuoa kuliko kuwaka tamaa.

Kama uko hapa unasoma na una zaidi ya miaka 40 hujaoa / kuolewa jitathmini mara mbili mbili. Jambo muhimu hili hujalifanyia kazi unataka nini?
Unataka uwe unamtuma mtoto wa nani?
Unataka ukistaafu nani ashike nafasi yako?
Unataka ukienda kwenye hotel mtoto wa nani akuhudumie?
Unataka pale stand nani fanye zile kazi ....
Unataka nani aendeshe bodaboda ...
JITATHMINI
Fanya kitu unachoona unakiweza kama huwezi achana nacho.
 
Back
Top Bottom