KUOA / KUOLEWA ....

KUOA / KUOLEWA ....

kuolewa au kuoa ni muhimu na inakujengea heshima pia ata kuja kutembelewa na ndugu kwako hailet picha nzur ndugu kwenda kwa mtu anaeish na hawala uwa tunafosi tu
 
Sisi waafrika tuna matatizo makubwa sana ya akili,kuoa au kuolewa siyo lazima ila cha msingi ni kufanya mambo yanayokupa furaha!.....Kama kuoa inakupa furaha just do it kama haikupi furaha put it away!....Kwa mfano mimi suala la kuoa halinipi furaha and i have already just put it away!!

wee ulishajaribu kuoa ukaona hupat furaha labda?
 
n muhimu na lazima kwa ajili ya kutimiza kusudi la Mungu
 
Mimi naona hakuna ulazima wala umuhimu
 
Sio lazima lakini tumejiwekea imani ya ajabu kwamba eti ukifanya mapenzi nnje ya ndoa ni "uzinifu" . Hayo ni maelewano tu ya watu wawili (jinsia tofauti) kukubaliana kwa hiari ili mradi ni watu wazima. Nijibu swali "sio lazima" ila uwe na mpenzi kwani Mungu aliweka tunda na utamu wake akimaanisha tujifurahishe na kumsaidia katika uumbaji.
 
Kuoa/kuolewa co lazma Ila
Inaongeza heshima
 
Kuoa au kuolewa sio muhimu wala lazima.

Japo mimi nimeoa.
Si muhimu wala si lazima ... ni nini sasa!
Unamaanisha hakuna umuhimu wa kuoa / kuolewa na pia hakuna ulazima wa kuoa au kuolewa?
 
Heri kuoa kuliko kuwaka tamaa...

Mme na awe na mke mmoja ...
 
Back
Top Bottom