TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 10,745
- 29,219
- Thread starter
- #21
Umezungumzia uzinzi ivo endelea tu, ndoa ni taasisi nyingine wewe haikufai kabisa, maana ndoa inawahusu wanaume waliokomaa kiakili.
ndoa ni mtazamo tu wa mtu au utamaduni ndio maana baadhi ya tamaduni wanaozwa/ozeshwa wakiwa katika umri mdogo. Ukomavu wa akili hauhusiani na mambo ya ndoa. Think outside the box