Rahim Jr
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 561
- 282
1. Kama mpenzi wangu kila ijumaa anakuja kwangu na anasipendi nae mpaka jumapili usiku, nioe ili iweje?
2. Kama kila nguo zangu zikichafuka au nyumba ikihitaji usafi sikosi mwanamke wa kunisaidie, nioe ili iweje?
3. Kama mwanamke niliyempa mimba yuko tayari kuzaa, nioe ili iweje?
4. Kama kila nikihitaji tendo la ngono (sio tendo la ndoa) nalipata kwa wakati, nioe ili iweje?
5. Kama kila nikihitaji ushauri au kuliwazwa na mwanamke napata, nioe ili iweje?
Bado nipo nipo sana
VYOTE UTABISHA: Lakini subiri uanze kuoza ukiwa bado hai,ndio hivyo viswali vyako utajijibu mwenyew,ukija tena kuomba ushaur hapa jf nasisi tutakuuliza unakula pipi[ARV] ili iweje?