Kunywea pombe club ni hatari sana

Kunywea pombe club ni hatari sana

Marehemu Kaka yangu Chidongo alikufa kifo hicho,
Alienda bar na wenzake wakiwa wanakunywa alienda chooni kurudi akanywa kinywaji basi ndo ikawa mwisho wake, maana naskia alijipigiza chini hapo hapo hakuinuka Tena
 
Mtu akisoma hii comment akaenda kupiga mahesabu ya;
1. Bangi kete 2.
2. Big G tatu.
3. Maji nusu lita.
4. Samaki wa kuchomwa na limao.
5. Konyagi ndogo
6. Korosho

Anaweza kuona yeye tu ndo maskini. Humu mtandaoni tusome tu hizi nyuzi kujifurahisha. Ukiwa serious lazima udate. [emoji3][emoji119]
Watu tumepigika ila ni mbwembwe tu huku mitandaoni.

Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka mtoto wangu akifikisha miaka 20 ndio naacha,imebaki mitatu(3)...

Mwaka juzi nlikua bar maarufu pale songea mjini ipo mkabala na bank ya crdb(sitaitaja jina) naficha code...

Nikakamua bapa langu halafu nikawasha bangi,nilijisahau sikuweka glucose.. Moshi ukatanda bar nzima ile wanatafuta inapowaka,me nikaagiza bapa nyengine halafu nikazima bange nikawasha sigara...

Walinibebabeba wakanipiga halafu wakanitupa nje...

Kesho nilikuja na polisi kama 8,nilisema nimeibiwa na mabaunsa wameshilikiana na wahudumu na wameniibia kila kitu na ushahidi ni gari nililokuja nalo lilikuepo parking...

Walijuta..
Acha. Uongo.Maeneo yote yanayozunguka CRDB BANK Songea ni maeneo/maofisi ya Serikali mfano ofisi ya Mkuu wa mkoa kwa mashariki, magharibi TRA, kusini TTCL na kaskazini ofisi zingine za Serikali.

Baa maarufu Songea ni La Charles. Meneja wake anaitwa Mosile, hataki wahudumu wake wazoeane na wateja.

Wahudumu wote anataka kuwala yeye, ukitongoza tu anaanzisha ugomvi. Wakati wa kufunga baa mteja akiondoka na mhudumu anamfuatilia kwa nyuma ili kumnyang'anya mjuba.

Hahahaaaaa.

Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi natumia Kinywaji nilikua nahimizwa kuto acha bia nikienda toilet then nikairudia.
Nilikuja kuamini kipindi napambana kuacha bia ile unakujwa kwa kustukiza kwa mwezi au baada ya miezi 2 unaifumania then unaapa kuto rudia.
Siku moja nikiwa nimelala kwenye ndoto niliona mwanamke/mhudumu amejichana kidole halaffu ile damu anaichanganya kwenye bia wakati anaifungua ili asambaze vvu.
Nikagundua kwenye uasi hakuna huruma, Asante Yesu amenisaidia niliachaga bia na siitamani.
Nan kakudanganya ukinyw hiyo damu utapata HIV
 
Kuna wakati tunakitafuta kifo sisi wenyewe...hasa walevi na wanywa pombe za usiku kwenye club au bar za uchochoroni huko.

Ukiwa club inatokea unasogea pembeni kuongea na simu, unaenda toilet, unakuwa busy kuangalia mpira au kupiga stori na unakuwa ushatupia bia kadhaa kichwani, yaani hujali!

Mhudumu anakufungulia kinywaji huangalii, kuna bia zinakuwa zimechacha..anaweza hata akakuwekea sumu, flgyl, au madawa ya kulevya ukayabugia. Unakufa kirahisi sana[emoji1745]

Una bifu na mtu anakuwekea kitu kwenye chupa kwa Siri bila wewe kujua, inavhangangikana na bia. Unaitafuna.

Hatari mwanzo mwisho.
Chukua bapa weka mfuko wa shati one way toilet
 
 
Mtu akisoma hii comment akaenda kupiga mahesabu ya;
1. Bangi kete 2.
2. Big G tatu.
3. Maji nusu lita.
4. Samaki wa kuchomwa na limao.
5. Konyagi ndogo
6. Korosho

Anaweza kuona yeye tu ndo maskini. Humu mtandaoni tusome tu hizi nyuzi kujifurahisha. Ukiwa serious lazima udate. 😀🙌
Mkuu kwan umehisi ni gharama kubwa...?? Usicheze na addiction...pesa huwa haina thaman hata kidogo
 
Acha. Uongo.Maeneo yote yanayozunguka CRDB BANK Songea ni maeneo/maofisi ya Serikali mfano ofisi ya Mkuu wa mkoa kwa mashariki, magharibi TRA, kusini TTCL na kaskazini ofisi zingine za Serikali.

Baa maarufu Songea ni La Charles. Meneja wake anaitwa Mosile, hataki wahudumu wake wazoeane na wateja.

Wahudumu wote anataka kuwala yeye, ukitongoza tu anaanzisha ugomvi. Wakati wa kufunga baa mteja akiondoka na mhudumu anamfuatilia kwa nyuma ili kumnyang'anya mjuba.

Hahahaaaaa.

Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Me sipo kwaajili ya ligi na nmekwambia naficha code kwa watu wanaoweza kuungnisha dot,watakua wamenielewa
 
Nina mzee wangu akiwa bar , akiwa anakunywa anahakikisha kamaliza chupa ndo anaenda toilet, kama haijaisha akirudi hanywi anaagiza nyingine.
.....Uoga tu Huo...kama unaishi na watu vizur haina haja ya kuwa na mahofu yasiyo na kichwa wala miguuu....we wakuue kwa kutafuta nini hasa kwako kwanza hapo ulipo unakunywa ngumu kumeza watakuibia nini kwa mfano
 
Unaona 12300 ni hela ndogo kwa mara moja?
Mkuu! Mimi ni choka mbaya lakini kusema ukweli 12,000 ni hela ndogo sana kwa starehe za bar.
Mimi huwa nanunua
  • kilo ya ktmt 12,000
  • bia za 10,000 peke yangu kwanza
  • baada ya hapo pepo la kulewa na marafiki linanijia, nawapigia simu
  • utakuta umeshatumia 90,000 hapo na wao wametumia hela kwa kuzungusha.
Lakini pamoja na hayo 90,000 kwenye starehe ni hela ndogo sana sana tunatumia walala hoi, sembuse 12,000!
 
Ukienda wash room hakikisha kinywaji hakijabaki na kama kimebaki nenda ukirudi mwaga nunua kingine fanya hivo maisha Yako yote utakuja kunishukuru
Yes mr tigo hiyo ndio tabia yangu
 
Mkuu! Mimi ni choka mbaya lakini kusema ukweli 12,000 ni hela ndogo sana kwa starehe za bar.
Mimi huwa nanunua
  • kilo ya ktmt 12,000
  • bia za 10,000 peke yangu kwanza
  • baada ya hapo pepo la kulewa na marafiki linanijia, nawapigia simu
  • utakuta umeshatumia 90,000 hapo na wao wametumia hela kwa kuzungusha.
Lakini pamoja na hayo 90,000 kwenye starehe ni hela ndogo sana sana tunatumia walala hoi, sembuse 12,000!
Swadacta...sasa hyu ndio mnywaji..
 
Bila shaka mtoa mada ni mtu wa mkoani,hayo mambo huwaga hatuwazi tukiwa maeneo yetu ys mjini liquid,kitambaa cheupe,wavuvi etc,mtu akuwekee madawa ili apate nini??hap majambazi wenyeww wanakuja kula raha, hakuna sehemu yenye amani na ushkaji kama bar,hakuna mtu aone unawekewa kitu ktk kinywaji alafu akauke,unless uwe unamakandokando yako mtaani huko,ila mtu frm no where aje akuwinde bar za mjini aache kuangalia madem wenye matako[emoji1787][emoji1787]
 
Bangi kete mbili kabla ya yote, then big G kama tatu, maji nusu lita, samaki wa kuchomwa na limao au supu ya ng’ombe ya jioni halafu limao nyingi, konyagi ndogo au vant ndogo huku natafuna korosho au karanga mbichi, mfuko ukiwa vyema grants, JD, black&white au red label, najikataa asubuhi, nakunywa maji lita moja, matunda kidogo kama chungwa na ovacado maisha yanaanzia hapo
Mnywaji anaejipenda nimekopi hii ndio itakua muongozo, by the way makali napenda zaidi grants au red lebel.

Ma bia kuna muda unakunywa hadi tisa hayashiki mwisho unazidisha route za washroom!! Ebo yani pesa yako inaanza kukutesa kila mda washroom.

Hili nalo mkalitazame.
 
Yap Bangi inawekwa glucose,mwita,asali au kapange hapo hakuna harufu.

Halafu me sihamagi bar na nikinywa wiki tu,mpaka meneja au mwenye bar tutajuana kwa vibweka ntakavyofanya humo ndani.
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom