Kunywea pombe club ni hatari sana

Kunywea pombe club ni hatari sana

Wewe mpuuzi unajidanganya sana. Hiyo 12000 unayoidharau ina thamani kubwa. Mimi unayeniambia nitafute hela ninazo za kunitosha kabisa... nina passport mbili zimejaa mihuri kwa kusafiri kwa gharama zangu mwenyewe. Siku nyingine usione kila mtu anayehimiza kutunza pesa ni maskini. Hizo Kvant na pombe mnazokunywa hovyo zimewafikisha wapi vijana zaidi ya kuolewa na wanaume wenzenu? Machawa mnaongezeka kisa ofa za huko bar.
wewe chawa, passport mbili ndo unavimbia humu😂😂😂..
nilijua ni masikini wa pesa tu, ndo maana nikakushauri utafute pesa, kumbe hata akili huna,....unaweza kusafiri kwa gharama za watu wewe kuku,..acha kujivunia passport we papai TAFUTA HELA...
 
wewe chawa, passport mbili ndo unavimbia humu😂😂😂..
nilijua ni masikini wa pesa tu, ndo maana nikakushauri utafute pesa, kumbe hata akili huna,....unaweza kusafiri kwa gharama za watu wewe kuku,..acha kujivunia passport we papai TAFUTA HELA...
Nadhani hata tukiendelea kubishana hatutafikia muafaka kwasababu hatujuani na tunatumia fake IDs. Baki na huo msimamo wako na mimi nibaki na wangu.
 
Nadhani hata tukiendelea kubishana hatutafikia muafaka kwasababu hatujuani na tunatumia fake IDs. Baki na huo msimamo wako na mimi nibaki na wangu.
hata hivi tusinge fika muafaka wa kuweza kuniaminisha kuwa 12000 ni hela,wewe hadi hela ya bigG 3 inakuuma kweli😂?.. na kuwa na passport mbili ni utajiri😂😂😂..over my dead body..... TAFUTA HELA mkuu🙌🤣😹😂😂
 
Ukiwa club au bar unakuwa makini zaidi, usiamwamini mtu.

Kwanza unanywea pombe kwenye chupa huku ukiilinda. Ukienda chooni unaenda na chupa yako mkononi.

Ukiona bia hazieleweki zinataka kukupanda kichwani unaenda home, usiage washkaji mana hakunaga kuaga bar au club.

Watu wamevurugwa sana kwa sasa!

kwanini hakuna kuaga, nmependa tu kuuliza
 
hata hivi tusinge fika muafaka wa kuweza kuniaminisha kuwa 12000 ni hela,wewe hadi hela ya bigG 3 inakuuma kweli😂?.. na kuwa na passport mbili ni utajiri😂😂😂..over my dead body..... TAFUTA HELA mkuu🙌🤣😹😂😂
Nauli za ndege unazifahanu? Unajua ni safari ngapi na za kwenda wapi zimefanyika hadi passport kujaa? Unajua hizo safari zilihusu nini? Ushawahi kuona bank statements zangu hadi kuniambia TAFUTA HELA? Ndo maana nasema hata tukibishana kiasi gani hatutafika muafaka.
 
Yap Bangi inawekwa glucose,mwita,asali au kapange hapo hakuna harufu.

Halafu me sihamagi bar na nikinywa wiki tu,mpaka meneja au mwenye bar tutajuana kwa vibweka ntakavyofanya humo ndani.
Kapange na mwita 🤣🤣🤣. Jamaa lazima umeishi mbeya
 
Mzingira ya sisi walevi huwa yako hatarini sana, ila nilichojifunza ni kuishi vizuri na watu; mi nikiwa nakasalio, wahudumu/dj/baunsa huwa wanapata vinywaji, wakati mwingine kama kuna vichenji nawaachia.
Wale ndio wanakuwa kama walinzi, pale kama kuna baya litatokea.
Sehemu yoyote ya starehe, jitahidi kujiwekea mazingira yako yawe salama.​
 
Legends huwa hatuendi club au bar tunazofahamika kwahiyo unakuwa umepunguza risk ya kufanyiwa umafia.
Kingine huwa hatuendi straight club au bar, unatengeneza vituo hata vitatu kabla ya kufika sehemu uliyoikusudia, hii itakusaidia kujua wanaokufuatilia na kuweza kuwapoteza maboya.
Pia usiende kula bata ukiwa na company, ni rahisi washkaji kukuzunguka na kukuchorea ramani ya kuangamizwa.
Cha mwisho, japo sio kwa umuhimu, ratiba zako za kula bata ziwe confidential na zisizo tabirika.
Yaani isijulikane kuwa Jumamosi au Jumapili ndiyo unaenda kula maisha, iwe siku yoyote tu hata Jumanne au alhamis unaenda kula bata.
Be unpredictable!!!
Wee jamaa Dooh kama mm yan
 
Ko relax
Nauli za ndege unazifahanu? Unajua ni safari ngapi na za kwenda wapi zimefanyika hadi passport kujaa? Unajua hizo safari zilihusu nini? Ushawahi kuona bank statements zangu hadi kuniambia TAFUTA HELA? Ndo maana nasema hata tukibishana kiasi gani hatutafika muafaka.
Acha hzo mkuu masaa.inahusu pombee..Tshs 12000 n helaa ya kawaidaa sana..kwa.mtu ambaye ametafuta.elaa.n.ameamua kutulia mahalo..na usije unadhan kila CK watu wanakunywaa..pombee..@kuna maeneo mengi iyo n hela ya nauli tu kwend club ama Ela ya mafufmtaa.so usikaze fuvu hvow@m mwenyew iyo Tsh 12000 n Ela ya tofali nyingi tu..lakin ciku nkifurah huwa inaishia ndan ya dk 5..ko relax
 
Ko relaxAcha hzo mkuu masaa.inahusu pombee..Tshs 12000 n helaa ya kawaidaa sana..kwa.mtu ambaye ametafuta.elaa.n.ameamua kutulia mahalo..na usije unadhan kila CK watu wanakunywaa..pombee..@kuna maeneo mengi iyo n hela ya nauli tu kwend club ama Ela ya mafufmtaa.so usikaze fuvu hvow@m mwenyew iyo Tsh 12000 n Ela ya tofali nyingi tu..lakin ciku nkifurah huwa inaishia ndan ya dk 5..ko relax
Unanibishia mimi? Unajua mimi ni nani?
 
Nauli za ndege unazifahanu? Unajua ni safari ngapi na za kwenda wapi zimefanyika hadi passport kujaa? Unajua hizo safari zilihusu nini? Ushawahi kuona bank statements zangu hadi kuniambia TAFUTA HELA? Ndo maana nasema hata tukibishana kiasi gani hatutafika muafaka.
shida ya hizi feki ID, unaweza kuta hapa nabishana na demu ambaye hadi chupi unanunuliwa ndo maana ukashangaa kusikia mtu anatumia 12000 kwa mara moja chap kupiga ulabu🤣😂😂🙌.....mkuu TAFUTA HELA... hata kama wewe n mama wa nyumbani kaanga hata bagia za dengu ujiongezee kipato kidogo, uache kuwashanga watu wakila 12000 zao..... msalimie sana shemeji yako anaekulipia nauli za ndege😂🤣🤣
 
Hizo bar mnawekeana sumu zipo Tanzania ipi?

Yani huna baya na mtu halafu akuingie tu...

Anyway wasiwasi nao ni akili.
 
shida ya hizi feki ID, unaweza kuta hapa nabishana na demu ambaye hadi chupi unanunuliwa ndo maana ukashangaa kusikia mtu anatumia 12000 kwa mara moja chap kupiga ulabu🤣😂😂🙌.....mkuu TAFUTA HELA... hata kama wewe n mama wa nyumbani kaanga hata bagia za dengu ujiongezee kipato kidogo, uache kuwashanga watu wakila 12000 zao..... msalimie sana shemeji yako anaekulipia nauli za ndege😂🤣🤣
Wewe K naona umevuka kabisa mstari wa ustaarabu. Sijakutukana lakini nashangaa unalipuka na matusi ya kisenge... jiheshimu. Hatujuani na sitaki kujuana na mtu hapa. Ukiona comment yangu pita zako hivi sio kuanza kuleta ushoga wako.
 
Watu wanaona 12,500/= ni hela, vifurushi tu au bando inaweza kwisha ndani ya week.

Kila starehe ina watu wa kipato chake, kuna wazee vichochoroni wakipata 2,000 inatosha kunywa gongo.

Kuna watu wananunua kichupa tu cha pombe kuanzia 500,00 hadi 1,000,000 ,mwingine starehe yake sh 10,000 inatosha,. Cha msingi amani iwepo na maisha yasonge.
 
Wewe K naona umevuka kabisa mstari wa ustaarabu. Sijakutukana lakini nashangaa unalipuka na matusi ya kisenge... jiheshimu. Hatujuani na sitaki kujuana na mtu hapa. Ukiona comment yangu pita zako hivi sio kuanza kuleta ushoga wako.
hunitishi wewe shoga ambae unashangaa 12000 kutumiwa siku moja...jina lako tu linaonyesha umeshatatuliwa linda sababu ya uchawa wako, unaambiwa TAFUTA HELA unakuwa mkali, unasema we tayari una passport mbili, we kweli papai🤣😂,..au umetatuliwa linda sababu ya hizo passport za kuendea uarabuni kimseleleko?.... TAFUTA HELA wewe humtishi mtu humu....300 ya bigG inakuuma kweli?.......uje ushushe uzi humu jinsi ulivyotatuliwa linda kisa hizo passport mbili, maana we kufanya kazi hutaki...
 
Back
Top Bottom