Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,591
- 31,128
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpaka mtoto wangu akifikisha miaka 20 ndio naacha,imebaki mitatu(3)...
Mwaka juzi nlikua bar maarufu pale songea mjini ipo mkabala na bank ya crdb(sitaitaja jina) naficha code...
Nikakamua bapa langu halafu nikawasha bangi,nilijisahau sikuweka glucose.. Moshi ukatanda bar nzima ile wanatafuta inapowaka,me nikaagiza bapa nyengine halafu nikazima bange nikawasha sigara...
Walinibebabeba wakanipiga halafu wakanitupa nje...
Kesho nilikuja na polisi kama 8,nilisema nimeibiwa na mabaunsa wameshilikiana na wahudumu na wameniibia kila kitu na ushahidi ni gari nililokuja nalo lilikuepo parking...
Walijuta..