Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 520
NaamIngekuwa hivyo kungekuwa na vifo vingi sana. Cha muhimu ishi vizuri na watu.. tumeona walevi wengi wakibebwa hadi majumbani kwao kipindi wamezima. Tanzania hatujafika huko.
NaamIngekuwa hivyo kungekuwa na vifo vingi sana. Cha muhimu ishi vizuri na watu.. tumeona walevi wengi wakibebwa hadi majumbani kwao kipindi wamezima. Tanzania hatujafika huko.
Maaweeeeee [emoji23][emoji23][emoji23]Bapa moja ya konyagi,bangi mbili na sigara moja halafu napita hivi...
Utaskia kaka kaka niachie hata ya bia 2..
Kijana utakuwa maskini sanaUnaona 12300 ni hela ndogo kwa mara moja?
Alikuwa na visa na watu sio bureKuna diwani kama sikosei ni Kawa road miaka hiyo alikunywa akajikuta anatapika bar kumbe watu wamefanya yao watu kuja kugundua baada ya kumuona paka naye amekata moto baada ya kula matapishi ya mzee baba katika maisha unaweza hisi wote wanakupenda kumbe hao hao wanakupenda ndio wanakupenda Zaid u R.I.P
Kwenye starehe ni hela ndogo mno,labda kama hujui starehe ni gharamaUnaona 12300 ni hela ndogo kwa mara moja?
Kama ni bar geni hua najikabidhi Kwa meneja na nawataarifu jamaa zangu kwamba lolote litakalonipata nipo sehemu Fulani ndio maana Kuna seke seke limenipata usiku wa kuamkia Leo jumapili meneja kakomaa haswaUkiwa Club jitahidi sana kunywea beer kwenye chupa na uishike popote unaposogea. Usimuachie kinywaji mtu unless ni mtu ukiyekuja nae na una muamini.
Unaweza ibiwa gari, au mali zako ulizo nazo mfukoni. Unawekewa kilevi unawehuka unakuwa haujielewi kila kiru unasema.
Na kama ni Demu unaweza leweshwa kisha watu wakaondoka na wewe wakaenda kukukula bila ridhaa yako na hautafanya lolote watakutupa huko asubuhi utakutwa jalalani tu huko.
Muulize anaijua Kvant..( Memory wiper)Yaan umeshaur kama mtu anakunywa maji yq kunywa...unaijua pombe ww
Hakuna vibeKwanini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yap Bangi inawekwa glucose,mwita,asali au kapange hapo hakuna harufu...
halafu me sihamagi bar na nikinywa wiki tu,mpaka meneja au mwenye bar tutajuana kwa vibweka ntakavyofanya humo ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata najua basi.. mi niko nalewa hapa
Kwan mada inahusu nini vile[emoji2960]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila hii Dunia dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ongezea nyama kidogo hapo kwenye sekeseke huenda tukamuokoa mtu akajifunza kupitia wewseke seke limenipata usiku wa kuamkia Leo jumapili meneja kakomaa haswa
Duuuuuuh!Akili mingi mkuu,tunaishi nao..
Bangi tunawasha mpaka kwenye pablik sevisi itakua bar..
Malaya,baunsa au bartender akileta unoko nachukua namba ya mwenye bar halafu atachagua yeye nimpakazie mavi au niendelee kula bulu.
Dah! Hamna spare ya mbavu ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2566981
View attachment 2566982
Hua nakua na spray zangu hizi nikipiga hizi kamwe harufu ya weed kwisha kabisa
Kwamba mtu ahangaike kumuua Mnywa Gongo?! Hehehe hela yenyewe ya mawazo hata akifa hana anachokiacha duniani zaidi ya Madeni.. Alaf ndio wa kwanza kujifanya kuogopa kuwekewa Sumu.Nani awaue makapuku hawa HELA HAWANA MAISHA YENYEWE WANAYO MAFUPI eti mtu ahangaike kumuwekea sumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka mtoto wangu akifikisha miaka 20 ndio naacha,imebaki mitatu(3)...
Mwaka juzi nlikua bar maarufu pale songea mjini ipo mkabala na bank ya crdb(sitaitaja jina) naficha code...
Nikakamua bapa langu halafu nikawasha bangi,nilijisahau sikuweka glucose.. Moshi ukatanda bar nzima ile wanatafuta inapowaka,me nikaagiza bapa nyengine halafu nikazima bange nikawasha sigara...
Walinibebabeba wakanipiga halafu wakanitupa nje...
Kesho nilikuja na polisi kama 8,nilisema nimeibiwa na mabaunsa wameshilikiana na wahudumu na wameniibia kila kitu na ushahidi ni gari nililokuja nalo lilikuepo parking...
Walijuta..
Ndio maana sitakagi company kwenda bar Niko kivyangu vyanguBinadamu huwa hatupendani, tunaowaita wana ndio kabisa miyeyusho!! , kuna jamaa walimuita wenzie bar wakampa sumu
Mimi sio bar tu, hata nikiwa mzima mambo ya kula misibani ,nyumba ya mtu hapana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuna Uzi wangu upo humu nimeeleza vizuri hiyo issueOngezea nyama kidogo hapo kwenye sekeseke huenda tukamuokoa mtu akajifunza kupitia wew
Ni kweli. Kwa definition yangu maskini ni mtu yeyote ambaye kipato chake kwa mwaka hakizidi USD 10000 (Takribani Tsh 23m) kwa mwaka. Wewe kama uko zaidi ya hapo unakua na uhalali wa kuniita maskini. Kinyume na hivyo basi tuzidi kupambana.Kijana utakuwa maskini sana
nimecheka sana mkuu [emoji2][emoji2][emoji2]Nani awaue makapuku hawa HELA HAWANA MAISHA YENYEWE WANAYO MAFUPI eti mtu ahangaike kumuwekea sumu