Kunyonyesha mtoto

Kunyonyesha mtoto

Noted .

Nanyonyesha mwenzenu msisahau kunitumia Pampers na matunda sawa Lizzy

nafata sheria za unyonyeshaji kama inavyotakiwa
Hahahaha unataka machungwa, maembe au mananasi FirstLady1 ??!

Hongera mwaya, miezi mingapi?! Kama bado kadogo chini ya kilo 9 nikupe tip, tafuta pampers za ROZI BEBE, ni nzuri kama Pampers original, yani laiiiini and very confortable alafu bei yake ni zaidi ya reasonable. Yani haya ma-Sleepy sijui Sanita na mengineyo hayaoni ndani kwa bei wala ubora. Kwa size kubwa pakti yenye diaper 40 ni 12 000 na size ndogo nadhani zinakuwa mpaka 56. Ila bahati mbaya size kubwa ni shida kupata maana for some reason wamecha kusambaza ila ndogo # 2 na 3 zipo kenye maduka mengi.
 
Last edited by a moderator:
Stress nazo husababisha maziwa kukata kbs....hivyo ni muhimu kujiepusha na mastress...........na wababa muwajali na kuwathamini sana wake zenu kipindi hicho........sio malove yote unahamishia kwa michepuko......jaribu kukumbuka na nyumbani pia!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hhahahhaha....
Kweli kabisa, ndo maana nimewasihi wababa wawajali wenzi wao maana japo hawanyonyeshi wao bado wanaweza kumfanya mama aweze au ashindwe kutimiza jukumu lake hilo kwa mtoto
 
Kama kawaida yangu naangalia kitu kwa jicho la tatu...
Muwe mnapima afya zenu mara kwa mara...
Maana ung'ang'anie kunyonyesha huku mumeo mzinzi mtoto apate maambukizi toka kwa mama...

Na ukiona mtu hataki kunyonyesha mtoto wake mumuwache...
Wengine wameathirika...kuuliza uliza na kuwashangaa shangaa kunawafanya wajisikie vibaya...
Haya mambo ni very private...

Kuna rafiki yangu huko Mghana...alijifungua kipindi huko kwao kuna kampeni ya mama kunyonyesha mtoto...
Anasimulia ilikuwa worst experience kwake...
Alikuwa analetewa mtoto amnyonyeshe huku maziwa yana vidonda (alilazwa baada ya kujifungua)...sikilizia maumivu yake na usalama wa afya ya mtoto...

Mwili wangu...mtoto wangu...nani aniamulie...

tahadhari ya magonjwa hiyo,wengine hawanyonyeshi maziwa yatalala
 
Stress nazo husababisha maziwa kukata kbs....hivyo ni muhimu kujiepusha na mastress...........na wababa muwajali na kuwathamini sana wake zenu kipindi hicho........sio malove yote unahamishia kwa michepuko......jaribu kukumbuka na nyumbani pia!!!!!!!!!!!!!!!!!!

yaani hapa umegonga penyewe kabisa ni sheeedah
 
Hahahaha unataka machungwa, maembe au mananasi FirstLady1 ??!

Hongera mwaya, miezi mingapi?! Kama bado kadogo chini ya kilo 9 nikupe tip, tafuta pampers za ROZI BEBE, ni nzuri kama Pampers original, yani laiiiini and very confortable alafu bei yake ni zaidi ya reasonable. Yani haya ma-Sleepy sijui Sanita na mengineyo hayaoni ndani kwa bei wala ubora. Kwa size kubwa pakti yenye diaper 40 ni 12 000 na size ndogo nadhani zinakuwa mpaka 56. Ila bahati mbaya size kubwa ni shida kupata maana for some reason wamecha kusambaza ila ndogo # 2 na 3 zipo kenye maduka mengi.


nakushukuru sana mamy kwa Tips mtoto wangu sasa yuko 10 kg

Tatizo katoto hakali na mie nafanya kazi masaa zaidi ya 10 nimekonda kwa mawazo Lizzy
 
Last edited by a moderator:
nakushukuru sana mamy kwa Tips mtoto wangu sasa yuko 10 kg

Tatizo katoto hakali na mie nafanya kazi masaa zaidi ya 10 nimekonda kwa mawazo Lizzy

My dear kwa age ngapi mwanao na hizi 10 kg. Here we are talking about 22 Ibs ya huyo Mtoto wetu. Just elewa kila age ina range weight yake.Ningejua age yake ningeweza kukujibu kama hizi kg ziko sawa or not. Na pia kumbuka kuna age Fulani watoto wakifikia huwa Wanasumbua sana kula hii ni kwa ajili ya ukuaji wao na pia michezo pia inachangia kuwafanya wawe hivyo , hiki si kitu cha worry sana ila make sure unampunguzia kunywa ,kunywa sana ili awe na appetite ya kula, and remember hii pia inategemea na age ya Mtoto, ni kwa wale walioanza kula vyakulavya kawaida . Thanks!
 
Last edited by a moderator:
Mwanangu kanyonya sanaaa sasa imetosha khaaaa afu watoto wakiume wananyonya hatar
 
nakushukuru sana mamy kwa Tips mtoto wangu sasa yuko 10 kg

Tatizo katoto hakali na mie nafanya kazi masaa zaidi ya 10 nimekonda kwa mawazo Lizzy

Ana umri gani mama wa kwanza?!


MankaM kweli aisee..wanakamua mpaka basi weee. Mi nimeamua kumpa wangu offer mpaka afikishe 2.5 alafu tunapigana kibuti cha manyonyo maana kafika mahali ananiambia kabisa "mamii kaa hapo" ili anyonye.
 
Last edited by a moderator:
Leo hii nimetoka kumshangaa rafiki yangu ambaye amekataa kunywa hata maji kisa mzazi, yeye ni manyama, supu, mitori na uji wa ulezi mwezi wa pili huu. Constipation kila siku na haelewi kwa nini. Balanced diet muhimu sana kwa mama anayenyonyesha.

bona hapo ndo watu wengi wanapokosea. Wakisikia 'KULA VIZURI' basi picha wanayoipata ni nyama,nyama,nyama,mafuta debe na blueband sado.

Ila sio ukweli. Mimi nilijifungulia Moshi na kule kwetu ukiwa mzazi utalishwa kama vile hamna kesho ila nilikataa. Chai ya rangi na vipande viwili vya mkate vinahitaji sh. ngapi?! Mayai mawili mara tatu kwa wiki ni 1800 hiyo nayo ni ya kusema lazima mwanaume awe na pesa nyingi?! Mchele robo, maharage, mboga za majani, nyama robo/nusu mara mbili au tatu kwa wiki, samaki kidogo, ndizi, spaghetti zinazouzwa pakti nzima 1200 na matunda ambayo kama sasa hivi yamejaa kila kona ni ya kusema lazima uwe tajiri kweli. Dawa ya kuyashinda haya maisha ni kutoku-complicate mambo ambayo yako simple.

Ila nadhani baadhi ya watu huwa wanatumia ile nafasi kula tofauti na ambavyo wanaweza kula katika hali ya kawaida. Na ndio hufanya ionekane kwamba mama akiwa mzazi lazima mzee atoboe mfuko kumlisha.
 
Stress nazo husababisha maziwa kukata kbs....hivyo ni muhimu kujiepusha na mastress...........na wababa muwajali na kuwathamini sana wake zenu kipindi hicho........sio malove yote unahamishia kwa michepuko......jaribu kukumbuka na nyumbani pia!!!!!!!!!!!!!!!!!!
aaaah waende huko wakajali huko huko kwenye nyuchi za uhakika pyeeeee stress pembeni baby ajenge shavu
 
Kuna dada mwangine juxi kafa kisa alikataa kujifungua na njia yakawaida madai yake " hataki K*** itanuke" akafanyiwa operation akazaa mtoto na akafa

Kina dada urembo upo ukipita kubali matokeo maisha ni muhim kuliko ayo yote
 
Breastfeeding is special moment for mother and child to bond.

Nilienjoy sana ku breastfeed and I cannot wait to hold another little one in my arms and feed him for two years God willing.

its very true, mama na mtoto wanabond sanawakati wa kunyonyesha, nina rafiki yangu alimwachisha mtoto kunyonya akiwa na miezi mi3 na mumewe akamsapoti akaanza kupewa maziwa ya kopo, mtoto hampendi mama hata kidogo,anampenda housegirl kuliko mama yaani hana muda nae kabisaa
 
Alafu wanakuaga wanaboa ukiwaambia wanajidai vichwa vigumu eti dokta kasema tuanze kumnywesha uji apate nguvu, uji mtoto wa miezi minne akili ya wapi hiyo 😬😐😐😐😡😡😡😡😡

Kunyonyesha pia kunategemea na afya ya mama. Kuna rafiki yangu kufata maushauri haya aliteseka. Hadi Dr alimwambia awaanzishie watoto chakula mbadala.

Yeye alikua na mapacha, walikua wananyonya balaa, mapresha kushuka watu wakawa wanamwambia ni kawaida.

Hali ikawa haibadiliki, kwenda hosp Dr akamshauri lishe mbadala kwa wanae na usiku wanywe maziwa halafu ndio wanyonye.

Tatizo aliloambiwa nashindwa kuandika maana sikumbuki vizuri ila ilikua ni la kuhusiana na moyo.
 
Ana umri gani mama wa kwanza?!


MankaM kweli aisee..wanakamua mpaka basi weee. Mi nimeamua kumpa wangu offer mpaka afikishe 2.5 alafu tunapigana kibuti cha manyonyo maana kafika mahali ananiambia kabisa "mamii kaa hapo" ili anyonye.

mmmh miaka 2.5 si wanasema kuna kipindi kama utaendelea kumnyonyesha mtoto mkubwa hivyo maziwa yanageuka uchafu mwisho 2yrs
 
Last edited by a moderator:
mmmh miaka 2.5 si wanasema kuna kipindi kama utaendelea kumnyonyesha mtoto mkubwa hivyo maziwa yanageuka uchafu mwisho 2yrs
neddy nawe unaanza kunyonyesha lini tununue diapers?
 
.....nilinyonyesha miezi 6 mfululizo bila kumpa chakula chochote. Alipofika miezi 6 akaanza kula vyakula na ziwa akaacha. Na yupo healthy na maakili kibao

Maziwa muhimu sana na yenye virutubisho ni ya mwanzoni hadi miezi 6. Haya ni muhimu sana.

Huwa nashangaa miaka 2 unanyonyesha mtoto? Labda kama huna means ya kumpatia vyakula bora mtoto.
 
Back
Top Bottom