Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,175
- 34,406
yo realy a mother
Am trying. Not yet there :tonguez:
yo realy a mother
nimesema mi si muumini wa kukamua maziwa ya mama...Ile miezi mitatu ya matenity leave ahakikishe mtoto ananyonya kisawasawa, baada ya hapo kuna option ya mama kukamua maziwa yake na kuyafreez bila kuharibika, hapo haus grl anamlisha vizur tu mchana. Asubuh na jion anyonyeshe kama kawaida.
Tatitizo lenu mnataka eti matiti yaendelee kua wima.
I never stopped to think that my boobies would sag. Bringing a human being into this world is bigger than changes to a body that will happen anyway.
No regrets. Huyo mdada nampa pole.
Eti ehhh?! Then I suppose lishe na formula ndo mpango mzima so long one can afford it.Someni tafiti na makala za wataalam kuhusu kunyonyesha.
Kunyonyesha ni muhimu SANA kwa ile miezi 6 ya mwanzo.
Baada ya hapo ni kuamua tu. Hakuna cha usasa wala usichana, na ukisoma zipo wazi kabisa kua unyonyeshaji katika nchi zetu hizi za dunia ya tatu ni kwa vile kuna Lishe duni.
Mtu unanyonyesha mtoto hadi anashindwa kujichanganya na watoto wenzake anawaza nyonyo.
Kama upo vizuri mtoto anakua vizuri tu.
Am trying. Not yet there :tonguez:
Kwasababu hawana muda wa kubond. Mtoto ana-spend more time na dada wa kazi kuliko mama yake, na ndio maana wengine hata neno mama wanaanza kulitamka wakilielekeza kwa dada wanaowalea badala ya mama.Mama kanyonyesha miezi mitatu, hampendi.
Je, sababu ya kumpenda sana dada ni ipi? Dada alikua anamnyonyesha??
Hahahaa ndio hivyo watoto wengine ni noma hawakubali kabisa hiyo formular....utamaliza waganga wote kumbe kamtu kanasumbuliwa na njaa
Thanks Ladies.Mama kanyonyesha miezi mitatu, hampendi.
Je, sababu ya kumpenda sana dada ni ipi? Dada alikua anamnyonyesha??
you are my dia.
Take the compliments, you deserve it.
You are.
Give yourself some credit bana, kwa kujaribu tu kuwa a great mother to your little one means you are a great mother.
sorry sasa kako na 11.5 kg na ana miezi 12.5 ila jamani kanaongeaAna umri gani mama wa kwanza?!
MankaM kweli aisee..wanakamua mpaka basi weee. Mi nimeamua kumpa wangu offer mpaka afikishe 2.5 alafu tunapigana kibuti cha manyonyo maana kafika mahali ananiambia kabisa "mamii kaa hapo" ili anyonye.
sorry sasa kako na 11.5 kg na ana miezi 12.5 ila jamani kanaongea
Utakasikia Nyonyo usiku kucha kwenye nyonyo ,asubuhi mie kazini
I enjoyed ku breastfeed aisee. Na hivi mtoto mwenyewe wa uzeeni kidogo... amenyonya hadi tunafanya debate akiwa nyonyoni. Yaani hadi ana miaka miwili na nusu...
Siku aliponiboa ( with a light touch and chuckle) hadi nikasema sasa basi, ni aliponiuliza kama nimeosha nyonyo vizuri na maji na eti, na vimu kabla sijamnyonyesha. Anajitia eti: mama nyonyo safi ? niko :'ndio'
Yeye: afisha ( umesafisha ) na lali ( maji)? Niko :' ndio na maji'
Kisha eti ' na vimu na deto'?
Kisa nilimwambia dada jana yake kuwa asafishe bafuni na dettol na vimu.
Nikasema haka sasa kametosha na ndio ikawa wiki ya bye bye nyonyo
Kwa ambao hawana matatizo, kunyonyesha ni jambo jema sana. kwanza linaleta lishe ya asili and God-given kwa mtoto, na pia inaleta bond kubwa sana baina ya mama na mwana.
Nyonyo oyeeee
shosti Avatar nimebadili kwa ajili yako tuuuuuuuu.........out of topic, hii avater yako inanichekesha nikajuaga wewe ni ME!
Nahisi wingi wa maziwa unatofautiana.Nishawahi sikia ukifanyiwa operesheni ya uzazi inapinguza maziwa.Hata hivyo kwa wafanyakazi ni mtihani mzito.Mimi nilijaribu kukamua na yakawa hayamtoshi muda nakuwa sipo nikaamua kumpa formula.
Siwaelewi wanaokwepa kunyonyesha bila sababu ivi kwanza wanayapeleka wapi maziwa mana from my experience ukijifungua maziwa yanajaa na huwa yanauma Sana na the only solution ni kunyonyesha sasa Hawa ndugu zangu sijui huwa wanafanya nini kuepuka kero hizi
shosti Avatar nimebadili kwa ajili yako tuuuuuuuu.....