Kunyonya matiti wakati wa tendo

Kunyonya matiti wakati wa tendo

Wewe si ulisema hujui utamu? Sasa umiliki wako unakujaje??? Duh dunia hii

Hah hahhah hahaha Tumetoka mbali na huyo.Atakuwa kakosea kusema tu lakini sasa hivi anajifanya kama hanijui na kanipiga marufuku kutaja jina lake humu jamvini.Nikitaja jina lake tu humu ni kosa .Lakini naamini ipo siku misukosuko hii kati yangu na yeye itaisha tu.
 
Hah hahhah hahaha Tumetoka mbali na huyo.Atakuwa kakosea kusema tu lakini sasa hivi anajifanya kama hanijui na kanipiga marufuku kutaja jina lake humu jamvini.Nikitaja jina lake tu humu ni kosa .Lakini naamini ipo siku misukosuko hii kati yangu na yeye itaisha tu.

omba uzima unaweza usifike
 
Inabidi watu wajiulize kwa nini magonjwa mwengine yanaongezeka sasa kuliko zamani, tena haya ambayo si ya kuambukiza (Non-communicable diseases)?

Ina maana kuna vitu wazee wetu walikuwa wanavipa kipaumbele sana kuliko sisi...au?
 
Duuuuuu nilikuwa sipendi msichana mwenye maziwa yaliyolala kama papai lakini nimejikuta nimempenda msichana ambaye matiti yamelala kipapai papai, hapo nikaamini mapenzi ni upofu.

hayo nayafananisha na motorola bapa,,,,,breasts z the most sensitive organ kwa mwanamke bhana,yaheshimiwe,
 
Hah hahhah hahaha Tumetoka mbali na huyo.Atakuwa kakosea kusema tu lakini sasa hivi anajifanya kama hanijui na kanipiga marufuku kutaja jina lake humu jamvini.Nikitaja jina lake tu humu ni kosa .Lakini naamini ipo siku misukosuko hii kati yangu na yeye itaisha tu.

Tumetoka mbalii wapiii Chalinze au! !sio vizurii banaa ni heshima tu itawale na utan usizidi kipimo maana my sweet Redlum stak aone mizaha ya kijinga jingaa nadhan nimeelewekaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom