Kunyonya matiti wakati wa tendo

Kunyonya matiti wakati wa tendo

matokeo ya awali ya utafiti tofauti pia umeonyesha uwezekano wa saratani ya vibofu kwa wanaume hupungua kwa kunyonywa kunako mara kwa mara. Kwa hiyo, nyonya unyonywe.

Hahahahaaaaaaaa...... nafwa mie
 
Utandawazi huu utatupeleka mahali pabaya matiti yaliwekwa ili wawe wananyonya watoto tu .Lakini nashangaa siku hata watu wazima wananyonya maziwa ya watoto.Mbona kinyaa.Nikija kulala na mwanamke siwezi kunyonya matiti .Ni kinyaa kwa kweli.
POLE! INAELEKEA HUJAJUA MATAKWA YA SHUGHULI ZA NDANI YA 6 X 6. Matiti yanayonyonywa sio yale ya wakati mama ananyonyesha bali baada ya kuacha kunyonyesha na yenyewe kukauka. Kunyonya matiti na kuyatomasatomasa kunamuongezea mwanamke mhemko. Ujue kwamba mhemko unavyozidi unachochea uharaka wa mwanamke kufika kileleni. Na hiyo ni starehe yake. Mfurahishe mwenza wako kwa kumfikisha kileleni mara nyingi uone atakavyo kuthamini.
 
Basi kama ni hivi kansa imenipitilia mbali yaani napata faida mbili hahahaha! Raha na kinga
 
POLE! INAELEKEA HUJAJUA MATAKWA YA SHUGHULI ZA NDANI YA 6 X 6. Matiti yanayonyonywa sio yale ya wakati mama ananyonyesha bali baada ya kuacha kunyonyesha na yenyewe kukauka. Kunyonya matiti na kuyatomasatomasa kunamuongezea mwanamke mhemko. Ujue kwamba mhemko unavyozidi unachochea uharaka wa mwanamke kufika kileleni. Na hiyo ni starehe yake. Mfurahishe mwenza wako kwa kumfikisha kileleni mara nyingi uone atakavyo kuthamini.

there u go.............
 
Ngoja nilale aisee nikiendelea kufuatilia mazungumzo haya nisije nikaota bure .Kwa herini wakuu tutaonana kesho .Ni muda wa kulala huu .USIKU MWEMA.
. Mwanangu, nimefuatilia post zako; wewe ukiamka endelea tu na shule na mengineyo. Huku MMU waachie wenyewe tena ikibidi hata kuchungulia kuna nini usithubutu. Nenda kule kwenye jukwaa la elimu; habari na hoja mchanganyiko; chit-chat na jokes.:wink:
 
Back
Top Bottom