Kunyonya matiti wakati wa tendo

Kunyonya matiti wakati wa tendo

Karibuni akina dada huduma nitaanza kutoa Jmos Bure kabisa.

Wahi mapema nafasi ni chache
 
Utandawazi huu utatupeleka mahali pabaya matiti yaliwekwa ili wawe wananyonya watoto tu .Lakini nashangaa siku hata watu wazima wananyonya maziwa ya watoto.Mbona kinyaa.Nikija kulala na mwanamke siwezi kunyonya matiti .Ni kinyaa kwa kweli.

Acha ushamba banaa.
 
Ngoja nilale aisee nikiendelea kufuatilia mazungumzo haya nisije nikaota bure .Kwa herini wakuu tutaonana kesho .Ni muda wa kulala huu .USIKU MWEMA.
 
Ngoja nilale aisee nikiendelea kufuatilia mazungumzo haya nisije nikaota bure .Kwa herini wakuu tutaonana kesho .Ni muda wa kulala huu .USIKU MWEMA.

Usiwe unaagaa bwana watu humu wanakesha kams CNN
 
Nikweli bado sijawahi kulala na mwanamke lakini ninauhakika wa asilimia mia siwezi kabisa kunyonya matiti .Kupiga busu nikifikirie matemate naona kinyaa .Sasa kunyonya matiti si nitatapika kabisa kinacho nishangaza huwa nasikia humu watu wakiongea kuwa kuna watu wananyonyana mpaka sehemu za siri .Kweli watu wengine wanatisha

Kunyonya ni emotional feelings haitakuja kutokea eti mnachezeana na msichana unasema kimoyomoyo eti ngoja nikunyonye,
 
Siri yanguuuuu we huoni wanaume wanavyotishwa et wakinyonya wanapata kansaa muulize Majigo atakusimuliaaaa

Usimwage saana siri za ndani baby,mengine ni mambo adimu ya kufanya mimi na wewe ati!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom