Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
- Thread starter
- #21
alitoa comments zipi baada ya kunusa? alikunja uso au alikuwa poa maana sometimes kutokana na joto kule uwa kuna kaharufu kama soksi zilizofubaa
Kama huwa huogi kuna nuka hivyo ila kama unaoga hakunuki ila kunanukia ndio maana koni yangu huwa ila lambwa lambwa na vile vile soksi zisizofuliwa ndiyo zinanuka uvundo ila soksi ukiva siku 1 na kufua na kubadilisha nyingine hapo hazinuki! Hii umenikumbusha mbali mzee unaenda ugenini kumbe umevaa masoksi hajafuliwa halafu yametoboka sasa ukifika ugenini wenzako wanaanza kuvua viatu wewe unabaki umebung'aa ila cha mwisho unazivulia soksi na viatu kwa pamoja na kuziacha kwenye viatu halafu unaingia peku peku ila ukiangalia wenzako wamekaza soksi duuuh hhahahahahahah.........................:becky::becky::becky::becky: