Pengine watu watajiuliza kuwa nini kimejiri mpaka kuwazungumzia wadudu hawa. Kunguni hawathibitika kuwa na uambukizi wa ugonjwa wowote kwa binadamu, ila ni wadudu ambao wasumbufu sana hasa nyakati za usiku ukiwa umelala, usiombe kulala hoteli yenye kunguni balaa, hili lilinitokea kipindi fulani nilikuwa nafanya field kijiji kimoja (magubike) tukalala hotelini siku kumi zilikuwa kama miaka kumi kwa usumbufu wa wadudu hawa. Swali ni je wadudu hawa hunawiri sehemu zenye hali gani?, Ninajua chawa humea zaidi kwa kutokuwa na usafi wa mwili,
Imegundulika pia kuwa wadudu hawa huishi vizuri hata sehemu safi kama mtakavyoona kwenye video hapo chini. Ni wachache sana kati yetu wanaoweza sema hawajawahi kuumwa na mdudu huyu kwani wapo sehemu mbalimbali, mahotelini, kwenye usafiri(daladala, train) na hata baadhi ya club za unywaji, majumbani na maofisini pia.
Kinachoshangaza pia ni uvumilivu wa mdudu huyu kuishi hata mwaka bila kunyonya damu huku akisubiri mtu apatikane.
Je wataalam wanaweza kutuelezea sababu za mdudu huyu kuwa uwezo mkubwa wa kuishi muda mrefu bila diet?
unaweza kufahamu zaidi mdudu huyu hapa Kunguni
au hapa chini
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=lpkTC3bs4Cg"]kunguni2[/ame]
Imegundulika pia kuwa wadudu hawa huishi vizuri hata sehemu safi kama mtakavyoona kwenye video hapo chini. Ni wachache sana kati yetu wanaoweza sema hawajawahi kuumwa na mdudu huyu kwani wapo sehemu mbalimbali, mahotelini, kwenye usafiri(daladala, train) na hata baadhi ya club za unywaji, majumbani na maofisini pia.
Kinachoshangaza pia ni uvumilivu wa mdudu huyu kuishi hata mwaka bila kunyonya damu huku akisubiri mtu apatikane.
Je wataalam wanaweza kutuelezea sababu za mdudu huyu kuwa uwezo mkubwa wa kuishi muda mrefu bila diet?
unaweza kufahamu zaidi mdudu huyu hapa Kunguni
au hapa chini
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=lpkTC3bs4Cg"]kunguni2[/ame]