Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,323
Afadhali ya mwanamke hata anakusaidia,baadhi ya wanaume wengi hata hawaulize kama umetosheka au Laa yeye anakuparamia kama mnazi akimaliza kashuka analala anakoroma utadhani amepewa kazi yakulima shamba,wewe mtoto wa kike una hesabu boriti na nyufa kwenye nyumba isokua yako...Hahah.... U-fake mwingi tatizo
Oopss... umeongea kwa hisia kali kama yalishakukuta vile?Afadhali ya mwanamke hata anakusaidia,baadhi ya wanaume wengi hata hawaulize kama umetosheka au Laa yeye anakuparamia kama mnazi akimaliza kashuka analala anakoroma utadhani amepewa kazi yakulima shamba,wewe mtoto wa kike una hesabu boriti na nyufa kwenye nyumba isokua yako...
Kama kweli vile???Sitaki amini mtu ana eza binuliwa binuliwa kizembe na hataki alafu akae kimya wanakuwa wana furahia tuache kudanganyana hapa. Kweli kabisa mtu asikie maumivu alafu akae kimya ni movie ana act au? Sio kweli wengi wana enjoy asiye taka huwa anasema hawezi
Hayaja nikuta ila wanawake hua tunaongea mengi unaweza kukutana shogako mloshibana akakwambia mwenzangu pale naenda hiyo basi tuu lakini michezo sifuri,unabaki unamuangalia tuu yule bwana..Oopss... umeongea kwa hisia kali kama yalishakukuta vile?
Duh.WEWE Mwanaume unayejidanganya na hayo ma
Movie ya X unayoangalia huko kisha unakuja kufanyia
mazoezi kwa mtoto wa watu...acha huo ujinga..MARA
umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba
huko, unambinua kama mcheza kungfu...mara
umuinamishe kama mbwa... SIKIA wale wasichana ulioona kwenye hizo filamu
wapo kazini aisee na wamefanya mazoezi kabla ndo
maana unawaona wanajitanua bila wasiwasi....
WEWE unaenda kwa msichana ambaye hana hata
mazoezi unamtanua halafu unajifanya we unajuaaaa
mapenzi, UJINGA mkubwa.... haiwezekani umfanye msichana kama mdoli aisee.
ANAWEZA asikwambie kuwa anaumia lakini amini
kuwa hapati raha yoyote unamtesa tu bure..
NA NYIE wasichana mambo ya kujiliza liza hovyo
kama yale masichana ya kwenye filamu za X muache,
yaani ukiguswa kidogo tu'aaaaaah oooosh!!"shenzi kabisa hisia gani hizo unaguswa nywele unasisimuka,
unaguswa kucha unapiga makelele.....
Afadhali ya mwanamke hata anakusaidia,baadhi ya wanaume wengi hata hawaulize kama umetosheka au Laa yeye anakuparamia kama mnazi akimaliza kashuka analala anakoroma utadhani amepewa kazi yakulima shamba,wewe mtoto wa kike una hesabu boriti na nyufa kwenye nyumba isokua yako...