Kung Fu Kitandani

Kung Fu Kitandani

Sitaki amini mtu ana eza binuliwa binuliwa kizembe na hataki alafu akae kimya wanakuwa wana furahia tuache kudanganyana hapa. Kweli kabisa mtu asikie maumivu alafu akae kimya ni movie ana act au? Sio kweli wengi wana enjoy asiye taka huwa anasema hawezi
Anachelea kuonwa mshamba wa mapenzi, ndio maana anajikuta anabinuliwa mpaka maini yanaingia kwenye mfuko wa tumbo.
 
Wa siku hizi bila kufanya hivyo wanakuuliza "bae kwani wewe kwenu dar?
 
Yaani ukimpata mwanamke piga hasa hakuna kuremba na pia akikisha unamfikisha kunako kilele. Mwanamke ukimfikisha anaweza kukuomba msamaha kwa kosa ambalo hata hajafanya.
Utasikia "Baby samahani kwa VITA inayoendelea huko Sudan Kusini"
hahaaaha
 
Haya mambo ya sarakasi kuna jamaa aliambiwa kila siku mkeo tunakwambia watu wanamtafuna unabisha twende ukaone.
Jamaa wameenda vizuri kafika kapiga chabo demu amekunjwa kama samaki wa penye senti 5 uso hauonekani jamaa a kasema huyo sio mke wangu.Mke wangu mie sio kilema jamaa wakachoka ikabidi waondoke.
 
WEWE Mwanaume unayejidanganya na hayo ma
Movie ya X unayoangalia huko kisha unakuja kufanyia
mazoezi kwa mtoto wa watu...acha huo ujinga..MARA
umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba
huko, unambinua kama mcheza kungfu...mara
umuinamishe kama mbwa... SIKIA wale wasichana ulioona kwenye hizo filamu
wapo kazini aisee na wamefanya mazoezi kabla ndo
maana unawaona wanajitanua bila wasiwasi....
WEWE unaenda kwa msichana ambaye hana hata
mazoezi unamtanua halafu unajifanya we unajuaaaa
mapenzi, UJINGA mkubwa.... haiwezekani umfanye msichana kama mdoli aisee.
ANAWEZA asikwambie kuwa anaumia lakini amini
kuwa hapati raha yoyote unamtesa tu bure..
NA NYIE wasichana mambo ya kujiliza liza hovyo
kama yale masichana ya kwenye filamu za X muache,
yaani ukiguswa kidogo tu'aaaaaah oooosh!!"shenzi kabisa hisia gani hizo unaguswa nywele unasisimuka,
unaguswa kucha unapiga makelele.....
Pole sana .
 
Haya mambo ya sarakasi kuna jamaa aliambiwa kila siku mkeo tunakwambia watu wanamtafuna unabisha twende ukaone.
Jamaa wameenda vizuri kafika kapiga chabo demu amekunjwa kama samaki wa penye senti 5 uso hauonekani jamaa a kasema huyo sio mke wangu.Mke wangu mie sio kilema jamaa wakachoka ikabidi waondoke.
U-missionary haufai kwenye game
 
SIO WAMEKUSIKUA...SEMA TUMEKUSIKIA....kwani wewe haufanyiwagi hivyo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom