Kung Fu Kitandani

Kung Fu Kitandani

Mapenzi bila kubinua binua hayana mzuka wowote wahusika wenyewe wanajua na wanaona utaaaaaaaaaaaaamu,labda ka kwako kamekariri maneno ya baba mchungaji.
 
mmh mwanaume WA hivi ,na nsivyojua Ku fake ataisoma kaniki..

sijui kufake na wala sintakaa niweze..usipo nridhisha sitakuambia ILA utajua Tu ..

naanzaje kufake furaha wakati sina itabidi Tu ajiongeze
Unamkimbia?
 
simkimbii ntakimbia wangapi wakati wote Ni majanga..ila kufake Ni noo
Tatizo wagumu kusema,kuweni wawazi sisi ni binadamu kama nyinyi,ukikaa kimya mwenzako anajua unapata raha

Unaulizwa tamu ?hujibu unaumia kimya aaaah jikazeni mpenzi wako unamuonea haya kwa lipi kama umekubali kukaliana uchi kila mmoja kuona utupu wa mwenzake?
 
Tatizo wagumu kusema,kuweni wawazi sisi ni binadamu kama nyinyi,ukikaa kimya mwenzako anajua unapata raha

Unaulizwa tamu ?hujibu unaumia kimya aaaah jikazeni mpenzi wako unamuonea haya kwa lipi kama umekubali kukaliana uchi kila mmoja kuona utupu wa mwenzake?
Ah, labda wanahisi wakisema ukweli tutawanyima hela
 
Ukiplus na makelele ya kitanda kwenye nyumba ya kupanga
 
Sasa kama amekula vya watu lazima akunjwe kama samaki na ainamishwe kama mbwa.na lazima atoe ushirikiano.
Chezea pesa wewe.
Hutaki acha kula vya watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom