Kung Fu Kitandani

Kung Fu Kitandani

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,077
Reaction score
17,260
WEWE Mwanaume unayejidanganya na hayo ma
Movie ya X unayoangalia huko kisha unakuja kufanyia
mazoezi kwa mtoto wa watu...acha huo ujinga..MARA
umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba
huko, unambinua kama mcheza kungfu...mara
umuinamishe kama mbwa... SIKIA wale wasichana ulioona kwenye hizo filamu
wapo kazini aisee na wamefanya mazoezi kabla ndo
maana unawaona wanajitanua bila wasiwasi....
WEWE unaenda kwa msichana ambaye hana hata
mazoezi unamtanua halafu unajifanya we unajuaaaa
mapenzi, UJINGA mkubwa.... haiwezekani umfanye msichana kama mdoli aisee.
ANAWEZA asikwambie kuwa anaumia lakini amini
kuwa hapati raha yoyote unamtesa tu bure..
NA NYIE wasichana mambo ya kujiliza liza hovyo
kama yale masichana ya kwenye filamu za X muache,
yaani ukiguswa kidogo tu'aaaaaah oooosh!!"shenzi kabisa hisia gani hizo unaguswa nywele unasisimuka,
unaguswa kucha unapiga makelele.....
 
1469946229779.jpg
 
wewe ngoja nikuweke kwenye ignore list pambaf
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom