kaulim mbiu .....once u in ,always u in.
Yaaaap coz, its simpo, safe, inaokoa muda, haina cost, alaf supa utamu ha ha ha
kaulim mbiu .....once u in ,always u in.
aaah weee mwanaume nipo vizuri......
Hong25 ni kama ulinimention vile"Wivu ni kidonda umeshiriki ugua polee"
Joh ananikosha sana,by the way asante mtengwa kwa kuanzisha uzi huu,tusiishie tu kuwasifia,Weusi wako wanawania tuzo ya kili kwenye category ya kundi bora la muziki wa kizazi kipya kama sijakosea,just go to kili website help them to grab that award,wapigieni kura.
Hong25 ni kama ulinimention vile
hata video zao mpya nje ya box na Gere ni za kimataifa..
Yeah,nilidhani we ndio umeleta thread,kama umestuka nimeedit,uko poa lakini?
Kundi bora la Hip Hop ! Ni Tamaduni Muzik !
Na Ujuzi wao haupimwi kwa Tuzo za Pombe !
VITENDO ZIDI YA MANENO !
Na fake concious emcee ''Bonta''
"Wivu ni kidonda umeshiriki ugua polee"
Joh ananikosha sana,by the way asante mtengwa kwa kuanzisha uzi huu,tusiishie tu kuwasifia,Weusi wako wanawania tuzo ya kili kwenye category ya kundi bora la muziki wa kizazi kipya kama sijakosea,just go to kili website help them to grab that award,wapigieni kura.
basi nae atakuwa poa tu
Kundi bora la Hip Hop ! Ni Tamaduni Muzik !
Na Ujuzi wao haupimwi kwa Tuzo za Pombe !
VITENDO ZIDI YA MANENO !
Na fake concious emcee ''Bonta''
Kundi bora la Hip Hop ! Ni Tamaduni Muzik !
Na Ujuzi wao haupimwi kwa Tuzo za Pombe !
VITENDO ZIDI YA MANENO !
Na fake concious emcee ''Bonta''
Unaposema mimi sio Concious mtaani watu Booooooooo
"Sio mimi,Bonta huyoo"
kaulim mbiu .....once u in ,always u in.
When come to good music hua na prefer WEUSI tracks than Tamaduni Muzik. Ila siku nikiwa na mzuka wa kusikia mistari konde na kucheza na maneno ndo nakuja kuwasikiliza kina Songa, Nikki Mbishi, One, Sterio, KadGo, Balozi wa Gheto, P the Mc, Azma n.k.
Nnachopenda Tamaduni Muzik ! Pale pana mistari ya Aina tofauti Tofauti !
Na ile ni Kama Familia Nguzo zote Za hip Hop zipo pale !