Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,389
Kwa lugha rahisi Kolo alikua na vibondeHebu tujionee wenyewe.
Ndio maana halisi ya kibondeRaja hawaja shiriki halafu unasema wametolewa, una akili?
Unaahiriki vipi bila kupata nafasi? Si vibonde hao?Raja hawaja shiriki halafu unasema wametolewa, una akili?
RAC katolewa na nani?Hebu tujionee wenyewe.
Pigia mstari.Kwa lugha rahisi Kolo alikua na vibonde
Unaahiriki vipi bila kupata nafasi? Si vibonde hao?
Au mmesahau timu zilizokutana na Yanga kwenye msimamo wa ligi zao kama walikuwa chini mliwaita vibonde?
Sasa msubiri leo kuungana na vibonde wenzenu, ni swala la muda tu
Dk unanipa mashaka sio siri!!!Unaahiriki vipi bila kupata nafasi? Si vibonde hao?
Au mmesahau timu zilizokutana na Yanga kwenye msimamo wa ligi zao kama walikuwa chini mliwaita vibonde?
Sasa msubiri leo kuungana na vibonde wenzenu, ni swala la muda tu.
Niufwala kujipa matumaini eti mnyama leo atafurushwa mashindanoni.Unaahiriki vipi bila kupata nafasi? Si vibonde hao?
Au mmesahau timu zilizokutana na Yanga kwenye msimamo wa ligi zao kama walikuwa chini mliwaita vibonde?
Sasa msubiri leo kuungana na vibonde wenzenu, ni swala la muda tu.
Mpira umeingiliwa na kina MamaRAC katolewa na nani?
Vipi aliyechukua kombe la shirikisho misimu ulopita yuko wapi vile?
Aaahaaaaaaa,naogopa kusemaaaHebu tujionee wenyewe.
AhaaaaaaNifwala jitu lolote linalosema eti leo Mnyama Simba atafurushwa mashindanoni
WIVU DETECTED.Hongereni Utopolo..sasa mtabadili msemo kutoka kutoingia makundi kwa miaka 25 hadi kutokucheza robo fainali kwa miaka 40.
Na kutoingia nusu je ni miaka mingapi!?Hongereni Utopolo..sasa mtabadili msemo kutoka kutoingia makundi kwa miaka 25 hadi kutokucheza robo fainali kwa miaka 40.
AhaaaaaaAhaaaaaa
Kweli?Raja hawaja shiriki halafu unasema wametolewa, una akili?