Kunanini? Clouds fm yapotea hewani gafla

Kunanini? Clouds fm yapotea hewani gafla

Mda sio mrefu clouds imepotea gafla baada ya mtangazaji mussa hasan kusema kuwa kuna ugeni wa kamati ya bunge....... hapo ndipo matangazo yakapotea
walikula mlungula ili wamurekodie kipindi warush e , wakashindwa kutimiza akawafata leo wanatupigia keleleleeee ngoja wakome
 
Na Makonda hatumbuliwi Raisi kasema hataki mambo ya mtandao
 
Makonda chapa kazi nasema chapa kazi, mimi sipangiwi cha kufanya. Next time kachukue na fighter plane kabisa kule Moro. Mgonjw wa kichwa kapewa rungu.
 
Mkuu hapangiwi
Dareslam n ya makonda
Kma ilivyo kwa arsene Wenger na arsenal yake
 
Bashitee kiazi,baba (godfather)yake kiazi kikuu,mtoto wa watu,vishawishi vimemfanya mpaka akawa jambazi.Laana hii itamuandama huyu mtu mpaka aseme pooo
 
Utasikia,kiongozi wa waasi nchini Tanzania bwana Daud Bashite,leo amevamia mradi wa barabara wa serikali na kuiba greda moja.Nikitangaza kutokaa Bornia,deutch wele mimi ni Umryheli.
 
Mkuu hapangiwi
Dareslam n ya makonda
Kma ilivyo kwa arsene Wenger na arsenal yake
Nimeisikia hiyo statement. Ndio kampa kichwa kabisa Mr '0'. Hapo mjiandae kuhama mji.
 
Back
Top Bottom