Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,528
- 27,053
Ndugu zangu!
Katika hali ya kusikitisha na kustaajabisha, kumekuwa na vilio vingi sana kwa watumishi wanufaika wa mfuko huo pendwa.
Watumishi wanachama wa mfuko huo wanasema kuwa, ni miezi sasa 'statement' inaonesha kuwa michango yao haijafika PSSSF licha ya kuwa 'salary slips' kusoma kuwa wanechangia.
Nina uhakika na Halmashari moja ambapo vilio hivyo vimetanda, sijui sehemu zingine. Watumishi wanufaika fanyeni kuchungulia kwenye kibubu chenu hicho.
Ncha Kali.
Katika hali ya kusikitisha na kustaajabisha, kumekuwa na vilio vingi sana kwa watumishi wanufaika wa mfuko huo pendwa.
Watumishi wanachama wa mfuko huo wanasema kuwa, ni miezi sasa 'statement' inaonesha kuwa michango yao haijafika PSSSF licha ya kuwa 'salary slips' kusoma kuwa wanechangia.
Nina uhakika na Halmashari moja ambapo vilio hivyo vimetanda, sijui sehemu zingine. Watumishi wanufaika fanyeni kuchungulia kwenye kibubu chenu hicho.
Ncha Kali.