Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,022
Twende taratibu Comrade punguza munkari.Natamani ingekuwa maiti yako na ukoo wako wote ingefurahisha. Hao siyo mazezeta kama wewe baba yako mama yako na ukoo mzima mwanangu. Umeniudhi kiasi cha mwenembago kupanda nikatukana. Umefanya nitamani Mtikila aka Tikila afufuke na kuendeleza injili yake ya magabacholi.
Weww na nani?Tukimaliza kuzika, tutaanza kuwashugulikia mmoja mmoja!!
Achana nae huyo anaejipendekezaMuhindi tangu lini kawa ndugu yako.
071 ya mzee wa MIGA imetepeta huko kwa mabeberu.Baba yenu sijui uzee sijui macho yangu. Katika pita pita yangu sioni ndugu zetu wa kihindi wakimuaga jemadari shujaa wetu John Pombe Magufuli kama wanyonge au kwa vile wao si wanyonge. Si Dar, Zenj na sasa Mwanza, sioni ndugu hawa wanaosifika kufaidi uchumi wa nchi yetu japo si kwa sana kipindi hiki cha Magufuli.
Kama ulikua na cheti feki ulitaraji ufanyweje?..ulipewa kila ulichostahili wala usijifiche kwenye migongo ya wengine na hadithi za bunuasi za watu kuokotwa kwenye viroba bila kuwa na ushahidi,,,tulikua tunafurahia vile mifumo ya unyonyaji, upigaji, ujanja ujanja ilivosambaratishwaUngekua na undugu na Ben Saanane, Azory, Akwilina, wale makumi walio okotwa maiti kwenye viroba, watumishi walio toa nguvu zao kwa miaka 30 kumtumikia jamii na kufukuzwa bila kulipwa mafao yao walio katwa kisa vyeti hewa nk ungejua kua huo mzoga wenu ulipaswa kutupwa mtoni baada ya kucharazwa bakora
Usituletee ubaguzi..Baba yenu sijui uzee sijui macho yangu. Katika pita pita yangu sioni ndugu zetu wa kihindi wakimuaga jemadari shujaa wetu John Pombe Magufuli kama wanyonge au kwa vile wao si wanyonge. Si Dar, Zenj na sasa Mwanza, sioni ndugu hawa wanaosifika kufaidi uchumi wa nchi yetu japo si kwa sana kipindi hiki cha Magufuli.
Nafikiri lazma tuelewe na tukubaliane, si wote watakwenda kuaga mwili.Baba yenu sijui uzee sijui macho yangu. Katika pita pita yangu sioni ndugu zetu wa kihindi wakimuaga jemadari shujaa wetu John Pombe Magufuli kama wanyonge au kwa vile wao si wanyonge. Si Dar, Zenj na sasa Mwanza, sioni ndugu hawa wanaosifika kufaidi uchumi wa nchi yetu japo si kwa sana kipindi hiki cha Magufuli.
Unayo hojaWahindi Wana kazi ya kufanya.
Mazezeta yanayo kanyagana Hadi kuuana kisa kushangaa maiti ya dikteta yamekosa kazi ya kufanya
Wahindi sio misukule..Wanajitambua ndio maana wanashikilia uchumi wa TZ
Ni nchi ya watu wasiojitambua tu ndio unakuta maiti inazungushwa wiki nzima ili kuonyesha eti marehemu alikua anapendwa
Inaelekea wewe ni miongoni wa watu wanaowachukia wahindi na pia kuwaonea wivu kwa maendeleo yao! Aidha wewe ni mbaguzi wa kutupwa nyuma ya kivuli cha uzalendo! Kwani kati ya makabila yote zaidi ya 120 nchini ulikuwa unafuatilia mahudhurio yao?
Why pick on Indians? Upuuzi mtupu! Wewe umehudhuria misiba mingapi ya wahindi? Halafu kwani msiba wa Magufuli una ajabu gani hadi watu wote washangae? Halafu unasema wanafaidi uchumi wa nchi yenu, wewe na nani? Mchango gani ulitoa katika uumbaji wa nchi hii?
Hii dunia ni yetu sote!
Si uibe na ww kama unaona easyYaliwapata nini wakati wanatuibia kila siku na kujitanga mabilionea?
Baba yenu sijui uzee sijui macho yangu. Katika pita pita yangu sioni ndugu zetu wa kihindi wakimuaga jemadari shujaa wetu John Pombe Magufuli kama wanyonge au kwa vile wao si wanyonge. Si Dar, Zenj na sasa Mwanza, sioni ndugu hawa wanaosifika kufaidi uchumi wa nchi yetu japo si kwa sana kipindi hiki cha Magufuli.
khaaa mbona unamuuliza mwenzio maswali magumu Hivyo...asije akaleft JFwanatuibiaje? hizi ndio concept zinafanya wana siasa watuone wapumbavu.
hawa watu wamewekeza nchini kisheria, wanalipa kodi, wameajiri watanzania wengine?
halaf unasema wanatuibia how?
Wahindi wanaogopa kolona sanaBaba yenu sijui uzee sijui macho yangu. Katika pita pita yangu sioni ndugu zetu wa kihindi wakimuaga jemadari shujaa wetu John Pombe Magufuli kama wanyonge au kwa vile wao si wanyonge. Si Dar, Zenj na sasa Mwanza, sioni ndugu hawa wanaosifika kufaidi uchumi wa nchi yetu japo si kwa sana kipindi hiki cha Magufuli.