Hi inaitwa blal fake... Ubaya Ubwela... Shangazi Na wife hawatakaa kushoboka Tena mbele ya Mwamba ๐๐๐....Jana bwana nikiwa natoka job nikakutana na jamaa yangu mmoja akanipa lift akiwa na wife wake na shangazi wa mke wake naweza kusema na yeye ni mkwe wake.
Tukiwa maeneo ya Aga Khan upanga ghafla ikapita G wagon.
Mkwe: Wanangu mmeona wanaume hao ....
Jamaa: Wanaume wapi, yule mwanamke tena binti tu
....
Wife: Kumbe mi nlikuwa sijaona vizuri
....
Jamaa: Mabinti wanaojua kutumia viungo vyao vizur hao si wale wana dili na maskini wanaishia kwenye IST.
Daaah kwenye gari palikuwa kimya hadi tunafika Kimara .... nilitamani kuchangia nikaona so na jamaa anaendesha IST.
Mwamba anahudhuria vikao bila shaka.Jamaa katisha,tena huenda hizo k zilizokuwa ndani ya hyo IST ndizo zilizosababisha jamaa awe na hicho kigari huenda kama sio wao angekuwa na hilo li G wagon
Hahaha yule mwamba mwenzangu na mimi tu uweza wa G wagon hana sema amejaliwa kujiamini sanaa.Jamaa katisha,tena huenda hizo k zilizokuwa ndani ya hyo IST ndizo zilizosababisha jamaa awe na hicho kigari huenda kama sio wao angekuwa na hilo li G wagon
Huyu mbabe sanaa duuh! Ila hata mimi ningetafuta namna namna ya kuwashushaBora uyo kamjibu ivyo tulipishana na rangee bhana tuko na IST yetu mai friend kamtania bwana ake wanaolia Kwa ilo gari Wana raha jmn sijui lini na mm ntafika uko. A minute tukashushwa pale mataa ya mwenge wakati ya foleni ๐น๐น๐ token Kwa gari yangu msinichafulie usafiri from that day jaman mm na lift no kwakweli ๐๐พ
KwakweliHuyu mbabe sanaa duuh! Ila hata mimi ningetafuta namna namna ya kuwashusha