second9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 294
- 628
Jana bwana nikiwa natoka job nikakutana na jamaa yangu mmoja akanipa lift akiwa na wife wake na shangazi wa mke wake naweza kusema na yeye ni mkwe wake.
Tukiwa maeneo ya Aga Khan upanga ghafla ikapita G wagon.
Mkwe: Wanangu mmeona wanaume hao ....
Jamaa: Wanaume wapi, yule mwanamke tena binti tu
....
Wife: Kumbe mi nlikuwa sijaona vizuri
....
Jamaa: Mabinti wanaojua kutumia viungo vyao vizur hao si wale wana dili na maskini wanaishia kwenye IST.
Daaah kwenye gari palikuwa kimya hadi tunafika Kimara .... nilitamani kuchangia nikaona so na jamaa anaendesha IST.
Tukiwa maeneo ya Aga Khan upanga ghafla ikapita G wagon.
Mkwe: Wanangu mmeona wanaume hao ....
Jamaa: Wanaume wapi, yule mwanamke tena binti tu
....
Wife: Kumbe mi nlikuwa sijaona vizuri
....
Jamaa: Mabinti wanaojua kutumia viungo vyao vizur hao si wale wana dili na maskini wanaishia kwenye IST.
Daaah kwenye gari palikuwa kimya hadi tunafika Kimara .... nilitamani kuchangia nikaona so na jamaa anaendesha IST.