Miaka mitatu anamlilia mtu?! Hii kwangu mpyaAnaidhulumu nafsi, yupo zizizni achague kondoo tena alienona kabisa
Mapenzi ni kama mvua.Naandika kwa uchungu sana. Huwa nikipenda mwanaume mmoja nampenda huyo huyo na siwez kumcheat labda anizingue. Mwanaume ambae nilijua tutamaliza wote maisha yaliyobaki hapa duniani ameniumiza sana. Ningekua labda mbaya nisingeumia sana. Ila hata bwana angu huwa ananiambia haamini mimi kumpenda yeye. B umeamua kuniumiza moyo wangu kwa mara nyingine. Nakuombea mabaya na huyo mwanamke ulie nae. Na namuomba Mungu anisikie kilio changu.
...rusha tuzione kwanza hizo 'level' zako!Mimi au nani?? Usitake nirushe picha humu.
Kuna tuliolilia mitano...tunatofautiana mida ya kupona maumivu ya mapenziMiaka mitatu anamlilia mtu?! Hii kwangu mpya
Ukivurugwa tena utalia miaka mitano mingine? Ukija kunyamaza u r 50! wanaume mwanamke ukiwalilia bichwa linapanda na hatakukubali ila ukiondoka ukaendelea maisha yako atajiuliza maswali!Kuna tuliolilia mitano...tunatofautiana mida ya kupona maumivu ya mapenzi
Ushauri mzuri. ..Ukivurugwa tena utalia miaka mitano mingine? Ukija kunyamaza u r 50! wanaume mwanamke ukiwalilia bichwa linapanda na hatakukubali ila ukiondoka ukaendelea maisha yako atajiuliza maswali!
Tatizo hutaki kunionaNaandika kwa uchungu sana. Huwa nikipenda mwanaume mmoja nampenda huyo huyo na siwez kumcheat labda anizingue. Mwanaume ambae nilijua tutamaliza wote maisha yaliyobaki hapa duniani ameniumiza sana. Ningekua labda mbaya nisingeumia sana. Ila hata bwana angu huwa ananiambia haamini mimi kumpenda yeye. B umeamua kuniumiza moyo wangu kwa mara nyingine. Nakuombea mabaya na huyo mwanamke ulie nae. Na namuomba Mungu anisikie kilio changu.
Komredi huyu niachie mimi bhana. Kizuri mtu hula na nduguyeYaani B unaniombea mabaya? Vibaya hivyo....
Naandika kwa uchungu sana. Huwa nikipenda mwanaume mmoja nampenda huyo huyo na siwez kumcheat labda anizingue. Mwanaume ambae nilijua tutamaliza wote maisha yaliyobaki hapa duniani ameniumiza sana. Ningekua labda mbaya nisingeumia sana. Ila hata bwana angu huwa ananiambia haamini mimi kumpenda yeye. B umeamua kuniumiza moyo wangu kwa mara nyingine. Nakuombea mabaya na huyo mwanamke ulie nae. Na namuomba Mungu anisikie kilio changu.
Siku zote ukitegemea furaha yako italetwa na mtu mwingine u wil be cryin everyday..people change in a second
Kosa kubwa tunalolifanya sisi wanadamu n kuhisi labda ukimfanyia mtu wema sana ..na ww atakufanyia hvyo hvyo ... .na ndo maana ikiwa kinyume na matarajio huwa tunaumia ..hvyo hvyo kwenye mapenz we don't need to expect to much from our partners
Sijawahi kupenda mtu toka nimpende yeye. Tuliachanaga 2015 ila mpaka leo bado nampenda.