Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,276
- 88,302
Naandika kwa uchungu sana. Huwa nikipenda mwanaume mmoja nampenda huyo huyo na siwez kumcheat labda anizingue. Mwanaume ambae nilijua tutamaliza wote maisha yaliyobaki hapa duniani ameniumiza sana. Ningekua labda mbaya nisingeumia sana. Ila hata bwana angu huwa ananiambia haamini mimi kumpenda yeye. B umeamua kuniumiza moyo wangu kwa mara nyingine. Nakuombea mabaya na huyo mwanamke ulie nae. Na namuomba Mungu anisikie kilio changu.