Kuna watu tuliumbwa kupishana na gari la mapenzi

Mzigua90

JF-Expert Member
Sep 23, 2014
38,276
88,302
Naandika kwa uchungu sana. Huwa nikipenda mwanaume mmoja nampenda huyo huyo na siwez kumcheat labda anizingue. Mwanaume ambae nilijua tutamaliza wote maisha yaliyobaki hapa duniani ameniumiza sana. Ningekua labda mbaya nisingeumia sana. Ila hata bwana angu huwa ananiambia haamini mimi kumpenda yeye. B umeamua kuniumiza moyo wangu kwa mara nyingine. Nakuombea mabaya na huyo mwanamke ulie nae. Na namuomba Mungu anisikie kilio changu.
 
Naandika kwa uchungu sana. Huwa nikipenda mwanaume mmoja nampenda huyo huyo na siwez kumcheat labda anizingue. Mwanaume ambae nilijua tutamaliza wote maisha yaliyobaki hapa duniani ameniumiza sana. Ningekua labda mbaya nisingeumia sana. Ila hata bwana angu huwa ananiambia haamini mimi kumpenda yeye. B umeamua kuniumiza moyo wangu kwa mara nyingine. Nakuombea mabaya na huyo mwanamke ulie nae. Na namuomba Mungu anisikie kilio changu.
Washajutibua tyr huko daaaah! watu tuna roho mbaya jaman! Pole sana aseee
 
Naandika kwa uchungu sana. Huwa nikipenda mwanaume mmoja nampenda huyo huyo na siwez kumcheat labda anizingue. Mwanaume ambae nilijua tutamaliza wote maisha yaliyobaki hapa duniani ameniumiza sana. Ningekua labda mbaya nisingeumia sana. Ila hata bwana angu huwa ananiambia haamini mimi kumpenda yeye. B umeamua kuniumiza moyo wangu kwa mara nyingine. Nakuombea mabaya na huyo mwanamke ulie nae. Na namuomba Mungu anisikie kilio changu.
Sema unanibania tu mamah.....kwa ufupi wewe sio mtu wa kuteswa na kuteseka hata kidogo.
 
Naandika kwa uchungu sana. Huwa nikipenda mwanaume mmoja nampenda huyo huyo na siwez kumcheat labda anizingue. Mwanaume ambae nilijua tutamaliza wote maisha yaliyobaki hapa duniani ameniumiza sana. Ningekua labda mbaya nisingeumia sana. Ila hata bwana angu huwa ananiambia haamini mimi kumpenda yeye. B umeamua kuniumiza moyo wangu kwa mara nyingine. Nakuombea mabaya na huyo mwanamke ulie nae. Na namuomba Mungu anisikie kilio changu.
Sema unanibania tu mamah.....kwa ufupi wewe sio mtu wa kuteswa na kuteseka hata kidogo.
 
pole sana najua ni jinsi gan inaumiza pale ambapo umetumia jitihada zako zote za kumpenda na kumjali but anakuja kubadilika ghafla pole mamiii ni changamoto za maisha but jifunze kukubaliana na hali
Nimeshindwa. Kibaya zaidi alirudi akasema amebadilika na ananitaka. Kabadilika sawa ila bado it is not enough.
 
Siku zote ukitegemea furaha yako italetwa na mtu mwingine u wil be cryin everyday..people change in a second
My dear hakuna changamoto kama kuwa kwenye relationship ambayo mwanaume anajihisi yuko na wewe sababu unampenda ila yeye anakuoba sio level zake. Huyu kaka nimeshamuonyesha kila kitu kwamba he is the one ila bado haniaminj
 
My dear hakuna changamoto kama kuwa kwenye relationship ambayo mwanaume anajihisi yuko na wewe sababu unampenda ila yeye anakuoba sio level zake. Huyu kaka nimeshamuonyesha kila kitu kwamba he is the one ila bado haniaminj
Ww ndio ujiweke kwny level anazotaka sasa
 
IMG_20171218_234144.jpg
 
Nimeshindwa. Kibaya zaidi alirudi akasema amebadilika na ananitaka. Kabadilika sawa ila bado it is not enough.
Kosa kubwa tunalolifanya sisi wanadamu n kuhisi labda ukimfanyia mtu wema sana ..na ww atakufanyia hvyo hvyo ... .na ndo maana ikiwa kinyume na matarajio huwa tunaumia ..hvyo hvyo kwenye mapenz we don't need to expect to much from our partners
 
Back
Top Bottom