Sema unanibania tu mamah.....kwa ufupi wewe sio mtu wa kuteswa na kuteseka hata kidogo.
Niamini Mimi nisemayeNaandika kwa uchungu sana. Huwa nikipenda mwanaume mmoja nampenda huyo huyo na siwez kumcheat labda anizingue. Mwanaume ambae nilijua tutamaliza wote maisha yaliyobaki hapa duniani ameniumiza sana. Ningekua labda mbaya nisingeumia sana. Ila hata bwana angu huwa ananiambia haamini mimi kumpenda yeye. B umeamua kuniumiza moyo wangu kwa mara nyingine. Nakuombea mabaya na huyo mwanamke ulie nae. Na namuomba Mungu anisikie kilio changu.
Ikitokea Jamie nakupenda sana but sitaki kukionesha kuwa nakupenda sana? Kwa kuogopa kuumizwa?Pole shoga angu...kosa kubwa ulilofanya ni kumuonesha huyo mwanaume kuwa unampenda sana! Bonge moja la mistake...na usipojirekebisha itakucost...
Mi nimejifunza asee ukinipenda nami ndo ntakupenda, once nitakapohisi janja janja Usain Bolt anasubiri ...hakuna kutesana hapa!
Ukiyafanya haya maisha mbona mepesi???Kosa kubwa tunalolifanya sisi wanadamu n kuhisi labda ukimfanyia mtu wema sana ..na ww atakufanyia hvyo hvyo ... .na ndo maana ikiwa kinyume na matarajio huwa tunaumia ..hvyo hvyo kwenye mapenz we don't need to expect to much from our partners
OkSawa mkuu