Kuna watu hufa mara mbili

Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.

Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.

Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.

Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?

Bado kuna mengi hatuyajui.
Nasikia kipindi upo mochwari ulikuwa unaandika majina maiti zinazopiga kelele nasikia nyingine ongeaji sana hata kabla ya kifo
 
DUU HII MOVIE YA VAN DAME NA SAIBOGI ..SIJUI DR ANAJIRIDHISHA VP KABISAA MTU KAFA ALAFU AENDE KUFUFUKIA MOTCHWARI THEN KULE MOTCHWARI AZIBULIWE NOCK OUT.. AU DOUBLE KICK AFE KABISAA.. 🤔DUUUUH.
 
hivi jamani.. kule vijijini mtu anapofia nyumbani alafu hakuna cha kupelekwa hospital wala Dr kuja kuhakikisha kwa vipimo.. wazee tuu au YOYOTE anaeaminiwa aminiwa akisema KAFA BASI mipango ya mazishi inaanza fasta mtu anazikwa. haswa haswa waislam. NAHISI BAADHI WANAZIKWA HAI 🤔
 
Kuna mzee mmoja katika harakati za kutafuta life akajikuta ameangukia katika kazi ya kuwa mtu wa mochwari, kazi yake ikiwa
a.kupokea maiti mpya, kuzipanga chini kwqnza kablaa ya kuziweka kwenye mafriji.

b. Kutoa maiti zilizofatwa ili zikazikwe na wanandugu zao

c. Kuosha maiti kwa wale watao hitaji huduma hiii.

d. Kuzika maiti hasa za vichanga ambao ndugu zengine huwa hawaendi nazo kwa ajili ya mazishi.

e.pia anakuwa kama mlinzi wa maiti hizo, maana hufanya ukaguzi na kuzingalia kwa kipindi atacho kuwa hapo.

Huyu mzee kumbwa na mengi hata kupelekea kukimbia siku yake ya shift usiku, ila ngoja twende kwenye topic

haliwahi sema kuna strong willing ambayo watu wanakuwa nayo zinazofanya kuto kubali kufa, au kutotaka kufa kwa wakati huo, au kuna ambao waliweka nadhiri kwenye task au jukumu kuwa hawezi kufa hadi akamilishe, sasa mauti inapo mkuta hapo stil mindi na willing yake inakuwa hazijafa kabisa. Mara nyingi watu hawa huwa ni wanafanyiwa mchezo na wenzao.

Kuna kisa alikitolea mfano, Kuna mtu alikuwa anafanyaga mazoez daily, na yey husema lazima amalize round kadhaa ndio apumzke, sasa huyu mtu alipigwa kitu wakati wa mazoezi, akapelekew mochwari lakini alipofika kuna muda aliamka na kuzungumza kuwa ngoja nimalizie round 2 za mwisho, jamaa kaon mengj so hakuon na hajashangazw akamwambia nakusihi ufanye haraka, yule mtu akasimam aka kimbia mule rum, haoa na pale baada ya hapo aka nyoooka mazima, so similar case kama hizi hutokea zingine hazisemi zinafanya tu.

Pia akasema kuna strong will ya kukataa kifo baada ya kuona uchafu au madhambi aliyoyafanya kuwa ni mengi na kujua fika huko aendaki ni kubaya sana, hii hutokea hasa kwa wachawi au wauaji na majambazi sugu. Kuna bibi alifariki alipo pelekw pale baada ya kuumwa muda mrefu sana, majirani ndio waliokuw wanasaidia kuingiza mwili lakini kuna manen walikuw wakizungumza kuhusu skendo na tabia za marehem ikiwemo uchawi,

cha ajabu baada ya hao kutoka room yule bib wakati wanafunikwa vzuri usoni alimkamata muhudumu wa michwari akilalamika kuwa kwanini wanatoa siri zake, akisema anamwonyesh wote hadi yey, ila muhudum alimjib sasa umeshafariki baki na aman na manen mengine meng mengi akaachiwa bibi akajinyoosha.

Ila ishu kama mtu ukiwa na unfinished task ambayo ulikweka nadhiri kuwa utaifanya stil mind itakuwa conditioned kuwa active, dats why inasemekana duration inayochukua ubongo wa binadam kuganda au kufa ina tofautian after mauti kufika nahisi ishu ya kuwa determined kweny task fulan itaingia hapaa,
mshana jr

Lakini hii mambo ya watu kuamka baada ya kifo ni hali ya kawaida na wala sio ya kuogopa.

Ukisoma Death process, utaona kuna Mort Cardiaque( Death of the Heart, when heart stops breathing) na kuna Mort Cerveau ( Brain Death ) when brain stops functioning.

Kifo cha moyo na brain hutokea tofauti, kimsingi mapigo ya moyo yanaanza kusimama kwanza kisha Brain ndio inafuata kwa ku process hiyo information.

So it takes some time kwa baadhi ya brain za watu ku process information kama hizo , Brain inakuwa bado active conscious kupokea mawimbi from this this physical realm . Ndio maana unakuta consciousness inaendelea untill all information has been processed, ndiyo Brain ina stop permanently.

Kama ushawahi kukutana na watu waliolala fofo , halafu usiku anaamka na kusimama kabisa na kuongea vitu anavyojua yeye kisha anarudi tena kitandani, Na Asubuhi ukimwambia Jana ulifanya hivi na vile , atakubishia kabisa hakuna kitu kama hicho na hajafanya.

Kama ushawahi kutumiwa Anesthesia drugs such Propofol, Ketamine, Etomidate, Thiopental , Halothane( The Gas) etc etc you can understand this. These medicines zinaenda ku block consciousness inayo generate information kwenye Nerve System, therefore you don’t feel pain or anything but you are awake and alive.

So this is the way it is, ni just brain tu inavyoprocess information wala hakuna cha kuogopa katika hayo ya maiti.
 
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.

Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.

Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.

Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?

Bado kuna mengi hatuyajui.
Kimsingi kufa ni kazi sa kuliko kutokufa; na wapo watu wengi sana hawafi ila roho zao ndani ya miili zimekabwa na kubanwa na majinamizi(mashetani maalumu yanayo kaba)
Hivyo mtu kama huyo anakuwa hajafa
 
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.

Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.

Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.

Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?

Bado kuna mengi hatuyajui.
Kuna siku jamaa yangu alinitania kiutani kwa kunifungia makusudi kwenye mochwari ya hospital ya mkoa wa morogoro Sasa Yale mafriji yakifanya kukukukuku ili kuongeza umeme Mimi nataka kuzimia sitasahau halafu chini sakafuni kulikuwa na maiti tatu moja ya bodaboda alikanyagwa na semi acheni nyie.
 
DUU HII MOVIE YA VAN DAME NA SAIBOGI ..SIJUI DR ANAJIRIDHISHA VP KABISAA MTU KAFA ALAFU AENDE KUFUFUKIA MOTCHWARI THEN KULE MOTCHWARI AZIBULIWE NOCK OUT.. AU DOUBLE KICK AFE KABISAA.. 🤔DUUUUH.
Moja Kati ya njia wanazothibitisha mtu amefariki ni kummulika na tochi flan hivi ndogo ila pia wanachek body temperature
 
Tuna elimu ya asili tena bora kuliko ya mzungu inayotambua wafu na walio katika hali ya kifo
hivi jamani.. kule vijijini mtu anapofia nyumbani alafu hakuna cha kupelekwa hospital wala Dr kuja kuhakikisha kwa vipimo.. wazee tuu au YOYOTE anaeaminiwa aminiwa akisema KAFA BASI mipango ya mazishi inaanza fasta mtu anazikwa. haswa haswa waislam. NAHISI BAADHI WANAZIKWA HAI
 
Kama ushawahi kutumiwa Anesthesia drugs such Propofol, Ketamine, Etomidate, Thiopental , Halothane( The Gas) etc etc you can understand this. These medicines zinaenda ku block consciousness inayo generate information kwenye Nerve System, therefore you don’t feel pain or anything but you are awake and alive.

So this is the way it is, ni just brain tu inavyoprocess information wala hakuna cha kuogopa katika hayo ya maiti.
Lakini hii mambo ya watu kuamka baada ya kifo ni hali ya kawaida na wala sio ya kuogopa.

Ukisoma Death process, utaona kuna Mort Cardiaque( Death of the Heart, when heart stops breathing) na kuna Mort Cerveau ( Brain Death ) when brain stops functioning.

Kifo cha moyo na brain hutokea tofauti, kimsingi mapigo ya moyo yanaanza kusimama kwanza kisha Brain ndio inafuata kwa ku process hiyo information.

So it takes some time kwa baadhi ya brain za watu ku process information kama hizo , Brain inakuwa bado active conscious kupokea mawimbi from this this physical realm . Ndio maana unakuta consciousness inaendelea untill all information has been processed, ndiyo Brain ina stop permanently.

Kama ushawahi kukutana na watu waliolala fofo , halafu usiku anaamka na kusimama kabisa na kuongea vitu anavyojua yeye kisha anarudi tena kitandani, Na Asubuhi ukimwambia Jana ulifanya hivi na vile , atakubishia kabisa hakuna kitu kama hicho na hajafanya.

Kama ushawahi kutumiwa Anesthesia drugs such Propofol, Ketamine, Etomidate, Thiopental , Halothane( The Gas) etc etc you can understand this. These medicines zinaenda ku block consciousness inayo generate information kwenye Nerve System, therefore you don’t feel pain or anything but you are awake and alive.

So this is the way it is, ni just brain tu inavyoprocess information wala hakuna cha kuogopa katika hayo ya maiti.
 
Kuna siku jamaa yangu alinitania kiutani kwa kunifungia makusudi kwenye mochwari ya hospital ya mkoa wa morogoro Sasa Yale mafriji yakifanya kukukukuku ili kuongeza umeme Mimi nataka kuzimia sitasahau halafu chini sakafuni kulikuwa na maiti tatu moja ya bodaboda alikanyagwa na semi acheni nyie.
 
Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena..

Unakosea sana, ukimpiga teke wewe ndio unakua muuaji aseee, muulize kwa utaratibu broo vipi? Wapi tena huko
 
Jii ni mpya
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.

Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.

Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.

Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?

Bado kuna mengi hatuyajui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom