Kuna watu hufa mara mbili

I once visited mochwari what i remember ni kuwa hata yule jamaa aliyekuwa anapokea na kuosha maiti hakuwa mzima kiakili ~ like mad
Nauhakika lazima alikuwa navuta bangi na wana story za ajabu ajabu

Ila story moja alinipa kiwa huwa wana many source of income kwani kuna watu huwa wanaamini katika maji ya kuosha maiti hivyo wao huwauzia na kujipatia hela kiulaini

GOD'S GRACE IS SUFFICIENT
 
I once visited mochwari what i remember ni kuwa hata yule jamaa aliyekuwa anapokea na kuosha maiti hakuwa mzima kiakili ~ like mad
Nauhakika lazima alikuwa navuta bangi na wana story za ajabu ajabu

Ila story moja alinipa kiwa huwa wana many source of income kwani kuna watu huwa wanaamini katika maji ya kuosha maiti hivyo wao huwauzia na kujipatia hela kiulaini

GOD'S GRACE IS SUFFICIENT
Nafanya kazi mochwari
 
Yeleeewi Yesu na Maria basi nimeacha asante.
Ntakuja unifundishe meditations nimejaribu kufungua jicho la tatu halifunguki. Nimeenda youtube nijifunze nimekuta kuna sauti tu za ajabuajabu
 
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.

Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.

Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.

Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?

Bado kuna mengi hatuyajui.
Mkuu una moyo wakipekee duh huu nizaidi ya ujasiri ahahaa
 
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.

Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.

Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.

Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?

Bado kuna mengi hatuyajui.
Kifo kwa baati mbaya wengi hawakijui kiundani. Kuna hatua tano za kufikia ukamilifu wa kifo, ukweli usiojulikana na pasipo kujua watu wengi wamekuwa wakizikwa wakiwa hai. kama hatua tano za kifo hazikukamilika matukio kama maiti kuamka na kutembea, kupiga chafya, kutingishika, kutoka jasho sana na mengine mengi hujitokeza na kuna uwezekano mtu mapigo ya moyo yakashuka, hawezi kufumbua macho wala kuongea walakutikisika lakini anasikia kila kitu mnachoongea . Sababu mojawapo inayofanya watu kudhani wamekufa ni woga wa kuangalia maiti, utaalamu au vifaa duni vya kupimia.
Asilimia kubwa ya watu wanaotajwa wamefufuliwa kwa njia yoyote ile (kama maombezi) wengi wao walikuwa hawajafa.
Nikipata muda nitakuja kufafanua hatua tano za kufa, na wanaofufuka wanafufukaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom