Kuna wanawake waliosalimika

Kuna wanawake waliosalimika

nimechoshwa na tabia hii, sasa hivi ni mwendo wa nipe nikupe, hunipi sikupi hela. Utapeli umekuwa mwingi sana. Wanaanza na vocha, mara bando wanapanda kila ukimpa kesho anapandisha. Mbaya zaidi penzi hupewi. Ukija kushituka milioni imetoka na kutumbukia kwenye shimo la tewa
Nimeshtuka kwanza.
 
Wapo ila wachache mnoo kwa haraka haraka hawa wa rika la balhe mpaka 50 hvi.. katika wanawake 10 basi 6 mpaka 7 hivi kati yao ni shika mkono twende. Wapo wanaojiuza official na unofficial.

Wasiojiuza ni wachache mnoo
 
Ma mkwe, usiende mahali, kidhati mliopoa ni nyinyi wachache, wengi ni wadangaji mkwe wangu.

Nisamehe nimeongea maneno mazito ma mkwe...
Kwako mwanangu kapata kifaa na nakuaminia, vijana wanasema huna mba mba mba..
Mwanao mda si mrefu nambwaga...ye mwenyewe mizinguo tu
Mume chenga,ba mkwe chenga...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom