Kuna wanawake waliosalimika

Kuna wanawake waliosalimika

Eti Leejay49 Evelyn Salt Nuzulati Hannah Numbisa
IMG-20230915-WA0001.jpg
 
Wanawake wa kiafrika kariba wote wanajiuza-wanatofautiana tu style ya kujiuza.Hata hao walioolewa nao wanajiuza tu maana hakuna wanachochangia katika hizo ndoa tofauti na ngono tu-maana hata akiwa naye na kipato hachanganii chochote.

Umasikini wa akili na Mali ni shida,Mwanamke wa kiafrika yeye anachojua amezaliwa ili ahudumiwe na Mwanaume huko kama sio kujiuza ni nini?
 
Ina maana hata mama yako mzazi, mama yako mdogo, dada yako/zako, shangazi yako/zako, nk nao umewajumlisha katika hili swali lako?
Kwani hao uliwataja ni wanaume??,kwa hiyo Baba yako akiwa mwizi inaondoa unwell kuwa ni mwizi? au kutosema kunaondoa dhana na yeye kutokuwa mwizi.
Kwani Malaya waliopo kila kona ya Nchi wakijiuza hawana kaka,dad,Baba zao???
 
Mfa
Umemjibu vizuri! Kuna watu wanaishi ulimwengu wa uharibifu wakidhani kila mtu anaishi ulimwengu huo! Dunia hii Mungu yupo na bado anatawala! Wanawake na wanaume waaminifu wapo tena wengi! Mabinti na vijana wenye bikra (ambao hawajanajisiwa) wako wengi tu! Inategemea familia, aina ya maisha na watu waliokuzunguka (yaani ulimwengu wako unaoishi).
Nfano Mzuri, Mimi nimeoa Bikra kabisa Mke wa Ujana wangu. Na hakuna chembe chembe yoyote ya Uhuni tangu anakua.
 
Wanawake wa kiafrika kariba wote wanajiuza-wanatofautiana tu style ya kujiuza.Hata hao walioolewa nao wanajiuza tu maana hakuna wanachochangia katika hizo ndoa tofauti na ngono tu-maana hata akiwa naye na kipato hachanganii chochote.

Umasikini wa akili na Mali ni shida,Mwanamke wa kiafrika yeye anachojua amezaliwa ili ahudumiwe na Mwanaume huko kama sio kujiuza ni nini?
Uyo ni Mke wako, Mama yako na Dada zako + Shangazi zako, Sisi wengine ni tofauat.
Tumezaliwa na Mama Backbone ya Uchumi wa Familia, Tumesomeshwa na Dada zetu na Tunaendesha Maisha na Wake zetu kwa Ushirikiano.
Acheni Udharirishaji.
 
Kila ukitongozà tayari simu imepasuka kioo, bibi mgonjwa, kodi imeisha, kitambaa cha sare nk. Hii ni kujiuza 100%.
nimechoshwa na tabia hii, sasa hivi ni mwendo wa nipe nikupe, hunipi sikupi hela. Utapeli umekuwa mwingi sana. Wanaanza na vocha, mara bando wanapanda kila ukimpa kesho anapandisha. Mbaya zaidi penzi hupewi. Ukija kushituka milioni imetoka na kutumbukia kwenye shimo la tewa
 
nimechoshwa na tabia hii, sasa hivi ni mwendo wa nipe nikupe, hunipi sikupi hela. Utapeli umekuwa mwingi sana. Wanaanza na vocha, mara bando wanapanda kila ukimpa kesho anapandisha. Mbaya zaidi penzi hupewi. Ukija kushituka milioni imetoka na kutumbukia kwenye shimo la tewa
Na wewe utakua huna akili kabsaaa penzi hupewi bado unaendelea kutoa vocha na bando?
Huo ni ujinga wako na upumbavu acha uchunwe na mimi nasema uchunwe haswaa
 
Kwani hao uliwataja ni wanaume??,kwa hiyo Baba yako akiwa mwizi inaondoa unwell kuwa ni mwizi? au kutosema kunaondoa dhana na yeye kutokuwa mwizi.
Kwani Malaya waliopo kila kona ya Nchi wakijiuza hawana kaka,dad,Baba zao???
Jibu swali nililouliza. Na kama huna uwezo wa kulijibu, kaa kimya. Usiniletee porojo hapa.

Kama ndugu zako wote wa kike ni malaya, isiwe ndiyo kisingizio cha kuwahukumu wanawake wote kwa huo umalaya wa ndugu zako.
 
Back
Top Bottom