Kuna wanawake waliosalimika

Kuna wanawake waliosalimika

1688620509624.jpg
 
Umemjibu vizuri! Kuna watu wanaishi ulimwengu wa uharibifu wakidhani kila mtu anaishi ulimwengu huo! Dunia hii Mungu yupo na bado anatawala! Wanawake na wanaume waaminifu wapo tena wengi! Mabinti na vijana wenye bikra (ambao hawajanajisiwa) wako wengi tu! Inategemea familia, aina ya maisha na watu waliokuzunguka (yaani ulimwengu wako unaoishi).
Hilo swali ameuliza bila kushirikisha ubongo wake. Mama yake mzazi anafanya hayo mambo? kama anafanya basi ni wale wale waliozaliwa na mama wasioolewa na wanaojiuza lakini kama mama yake ni muolewa basi je, alishamnasa mama yake anajiuza? Tuanzie hapo.
 
Sample ni mtaani huku wanawake tamaa zitawamaliza kama zinavyowamaliza wale vijana wanaopenda ofa ... Hakuna ofa wa vocha ya bure ni suala la muda utailipia..

Unakuta mwanamke mtaani unapoishi anakwambia nina hamu ya maini, sausage, kitimoto au miguu ya kuku na firigisi na huna hata ukaribu nae kivile. Ukikaa kimya anakwambia "kwa hiyo unaniambiaje sasa"?
 
Shida ni kwamba mkipata mwanamke decent mnamtreat vibaya sana kiasi cha kumvunja...hao wanaojiuza kuna wakati walikua decent...kuna mdau alisemaga humu kila mtu sasa hivi malaya, chukua malaya wako unaemmudu mfanye maisha...
 
Back
Top Bottom