wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,550
Vijana wengi bado washamba sana katika suala zima la kutongoza, huwatongoza wanawake kwa kuwalaghai kuwa anamiliki hiki au kile wakati akijua fika hana kitu,tabia hiyo ni ya kishamba kabisa na wala si ujanja ila ujinga mtupu,dunia ya leo imebadilika sana.
Wanawake ni wengi mno tena warembo kupindukia na wanatafuta wapenzi, si lazima umdanganye mwanamke ndo umpate, mueleze ukweli,mapenzi yenye ukweli ndani yake ni mazuri sana na yanadumu Milele.
Uongo ni mbio za sakafuni tu, nimeipenda sana staili ya huyu jamaa anayemtongoza misschagga,hakika ule mtongozo umeenda shule, kisaikoloji kaweka ID ya kuonyesha kuwa kweli kapenda na kajieleza wazi kuwa yeye hana pesa, akibahatika kung'oa mzigo basi ata enjoy sana maana mwanamke atakuwa anajua kuwa yupo na mtu asiye na kitu.
Mara nyingi malimbukeni ndo hupenda sana kutangaza pesa kwa wanawake, huo ni ushamba,tumeona wanawake mabwana zao awna pesa na wanawagegeda vyema lakini mchepuko uko palepale, mwanamke kama hakupendi hata umnunulie gari ambebe houseboy na kugegedwa.
Wanawake ni wengi mno tena warembo kupindukia na wanatafuta wapenzi, si lazima umdanganye mwanamke ndo umpate, mueleze ukweli,mapenzi yenye ukweli ndani yake ni mazuri sana na yanadumu Milele.
Uongo ni mbio za sakafuni tu, nimeipenda sana staili ya huyu jamaa anayemtongoza misschagga,hakika ule mtongozo umeenda shule, kisaikoloji kaweka ID ya kuonyesha kuwa kweli kapenda na kajieleza wazi kuwa yeye hana pesa, akibahatika kung'oa mzigo basi ata enjoy sana maana mwanamke atakuwa anajua kuwa yupo na mtu asiye na kitu.
Mara nyingi malimbukeni ndo hupenda sana kutangaza pesa kwa wanawake, huo ni ushamba,tumeona wanawake mabwana zao awna pesa na wanawagegeda vyema lakini mchepuko uko palepale, mwanamke kama hakupendi hata umnunulie gari ambebe houseboy na kugegedwa.