Kuna wakati wabongo walitaka kutuaminisha na hii kauli "hata hao wazungu wana uchawi wao"

Kuna wakati wabongo walitaka kutuaminisha na hii kauli "hata hao wazungu wana uchawi wao"

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,375
Reaction score
28,482
Acha uvivu, acha ushirikina.

Mbinu zinazoonekana na halisia ndio hutatua matatizo au changamoto.

Wekeza katika fikra halisia na sio za kufikirika.

Biashara ni mtaji sio kuchinja kuku.

Kupanda cheo ni bidii au kupendelewa sio kuchinja mbuzi.

Hakuna cha nyota kuchukuliwa wala sijui kufifia, kama umezaliwa kapuku au fikra finyu tegemea kufa kapuku labda uende outside of the box kuvunja matrix ilio kushikiria na sio kwenda kuchanjwa kwa mganga.

Mzungu kwenda mwezini ni jitihada zilizofanyika miongo na miongo ila wewe unataka ufuge majini ya pesa utajirike kama mkinga ndani ya miaka 2😁
 
Haujasikia hata Epstein alikuwa ana perform ritual huko na matajiri wenzake !?

Uchawi upo , But uchawi mali na utajiri unaendana na knowledge upstairs
Hakuna kitu kama hicho mkuu.

Rituals zipo nyingi sana na zinafanyika sana, na huwa zinafanyika kama kutengeneza muunganiko wenu uwe wa pamoja au kupokea mgeni mpya

Lakini sio eti rituals za kupata nguvu kwa namna ya kichawi
 
Fikra/ wazo ni complicated mkuu, huwa nikitembelea miji mkubwa duniani nikiangalia majengo makubwa na teknolojia za kutisha , naona kuna namna mawazo au fikra yanauwezo mkubwa sana kama hautayapa mipaka 🤔
Hakika

Its like this,

Mzungu aliamua kuwekeza katika kutatua changamoto katika mbinu za kushikika na halisia ila sisi hadi leo tunafanya vice versa.

Mzungu alifanya kujichallenge ikawa ndio jadi na utamaduni wake, yani akitengeneza panga baada ya miaka atattengeneza bunduki then bomu then so and so

So stori ya mzungu its about investing in his thoughts by employing tangible measures
 
Back
Top Bottom