BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,024
- 4,301
Na ndicho kinachofanyika,,, adhabu ya viboko saivi haina mipaka,,shule za vijijini kuna siri ndito sana juu ya adhabu hii,,ndo maana ukifatilia kijijini wanafunzi wengi sana wanaongoza kwa kukatisha masomo yao.Na fimbo isivuke mipaka (izingatie umri na aina ya kosa, na kosa limerudiwa mara ngapi ) isije ikageuka na kuwa ni ukatili kwa mtoto.