ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,442
- 11,332
Ww mtoto wako huwa akikosea huwa unampa hadhabu gani akosea nje ya viboko au bado hujazaa?Adhabu ya viboko kwa watoto ni barbaric na mojawapo ya adhabu za hovyo sana katika karne ya 21.
Ww mtoto wako huwa akikosea huwa unampa hadhabu gani akosea nje ya viboko au bado hujazaa?Adhabu ya viboko kwa watoto ni barbaric na mojawapo ya adhabu za hovyo sana katika karne ya 21.
Hao hao walio sema kuwa kupiga mtoto ni ukatiri ndo hao hao walio sema kufanya ushoga na kutoa mimba ni halali.
Kufananisha mfumo wa maisha wa mnyama na binadamu ni upumbavu maana ni mifumo miwili tofauti kabisa.
Kwani mnyama akiuwa au akijeruhi huwa nafungwa jera kama binadamu anavyo fungwa?
Binadamu ameubwa katika mfumo ambao ili haache makosa ni lazima ayajutie na ili ayajutie ni lazima haadhibiwe pale anapo fanya makosa.
Kwahiyo ww mtoto wako akikosea huwa unamuita na kufanyia sherehe na kumpongeza?
Umeonges Busara SanaaHao hao walio sema kuwa kupiga mtoto ni ukatiri ndo hao hao walio sema kufanya ushoga na kutoa mimba ni halali.
Kufananisha mfumo wa maisha wa mnyama na binadamu ni upumbavu maana ni mifumo miwili tofauti kabisa.
Kwani mnyama akiuwa au akijeruhi huwa nafungwa jera kama binadamu anavyo fungwa?
Binadamu ameubwa katika mfumo ambao ili haache makosa ni lazima ayajutie na ili ayajutie ni lazima haadhibiwe pale anapo fanya makosa.
Kwahiyo ww mtoto wako akikosea huwa unamuita na kufanyia sherehe na kumpongeza?
Laiti watunga Sera na Viongozi wote (Serikali +Dini zote + Wanasiasa) wangezingatia hayo uliyoshauri hapa, tungefanikiwa pakubwa sana. Ubarikiwe sana kwa andiko hili.Nakumbuka wakati nasoma ,Kuna wanafunzi walikua Wana Uwezo wa kawaida , wengine kupuuza tu mambo Kwa kiburi n.k, Walimu walisimama kidete, Umepewa Kazi hujafanya Makusudi ,Bakoraa !! umepewa Kazi umekosa zaidi ya Nusu ,bakoraaa .. Mimi mwenyewe niliwah Chapwa bakora Kwa sababu ya Mwandiko mbovu !!.
Ndio, Wakati Mwingine Bakora humuogopesha Mwanafunzi ,na kumwondelea Uwezo na wengine Kugeuza Fimbo kama sababu ya Kuacha Shule.
Tukimchukulia yule Dogo wa Mtwara, yeye aliamua kuandika Barua mwenyewe Kwa Mkuu wa Shule, kwamba Bwana eeehh Mimi Kwa hiyari yangu sitaki shule tena, na anahojiwa anasema, Hata Wakimfunga Baba yangu, wao wamfunge lakini Shule siendiiiiiii siendiiii!!.
Je huyu kaacha shule sababu ya Fimbo?.
Kuna Wale Vijana walochoma Bweni kipindi fulan, nakumbuka Hayati JPM alisema, wachapweee Viboko, Wazazi wao waitwe wajenge Bweni, kama hawawez wafukuzwe shule !!.
Je wanafunzi kama Hawa , uharifu Huu ni sababu ya Uwepo wa Fimbo Shuleni?.
Ufaulu Kwa shule za Serikali kua mbaya, Je ni matokeo ya kuwepo Kwa Fimbo mashuleni ?.
Katika kanuni ya KIROHO na kimbingu, ,maandiko yasema
Mithali 13:24. Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.
He that spareth his rod hateth his son: but he that loveth him chasteneth him betimes.....
Hamna Uponyaji wa Akili na Tabia Kwa mtoto awaye yoyote yule hapa chini ya Jua ambaye Wazazi na jamii yake inayomzunguka itaamua kutougusa mwili wake Kwa Fimbo !!.
Leo hiii Bunge Linajadili Et na nyumbani pia kuwekwe Sheria za utoaji adhabu?.
Leo hii Bunge Linajadili Et, Tuondoe Fimbo mashuleni !?.
Kwamba Tuondoe Fimbo katika kizazi ambacho, Wazazi wamekua wahovyoo, wanazaa watoto wanaolelewa hovyo, Leo hii watoto wapo Shuleni Kwa Waalimu ambao nao ni Wazazi, huko Walimu wanahitajika kutumia Fimbo katika kurekebisha tabia fulan fulan za mtoto , Nako mnataka Fimbo zisitumike?.
Ni SHETANI pekee anayejificha nyuma ya Haki za Binadam ndiye aendaye kinyume na maelekezo ya Mwenyezi Mungu , Siku zote SHETANI yupo kinyume na Mungu, SHETANI anapambana Dunia iwe na kizazi Cha hovyooo kisicho na maadili ,kizazi kisichoogopa dhambi !!.
Badala ya Kujadili jinsi ya kulinda watoto dhidi ya Ushoga, mnajadili Fimbo?.
Filamu zinazochochea Ushoga, tamthiliya zinazochochea Ushoga, Jamii kua na lugha chafu mbele ya watoto, kiasi kwamba watoto Leo hii wanafirana Kwa Kasi ya ajabu, watoto wanakua wakiwa hawana Uanaume, badala ya Kujadili namna ya kumlinda huyu mtoto wa kiume, mnajadili kuondoka bakora ??.
ustaharabu gani huuu ?? Unaiga ustaharabu wa Magharibi?. Mataifa ambayo yamejichokea kabisa kinidhamu, Et Nawewe Muafrika, Sasa umuache mtoto wako aseme na atende apendavyo kwakua Kuna haki za Binadam?.
Kizazi Bora kinaandaliwa, Kama lengo ni kuondoka Fimbo kama sehem ya adhabu, Je ni watoto wa aina gani mnawapeleka Shuleni ili Waalimu wetu wanaoishi Kwa shida sana , wasitumie Bakora ?.
Wajibu wa Wazazi katika kurekebisha Tabia za wanao kabla hamjawapeleka shule ni upi? Ili Walimu wetu wabaki na kazi ya kufundisha tu nasio kudeal na Nidhamu ya Mwanafunzi ?.
Kama Lengo ni kuondoa Fimbo ili wafaulu, ni kweli kabisa utafiti mmefanya mkagundua mkiondoa Fimbo watoto watafulu?.
Serikali na Bunge .....
Kwa Ajili ya Taaluma ...
1- Ufaulu ni matokeo ya Uwezo mzuri wa akili , Nchi Ina njaaa hii watoto hawali , amekula saa 10 jion, keshoa ende shule, Sukari imemshuka mwilin, ataelewa??.. HAKIKISHENI MTANZANIA ANAKULA MILO MITATU, HAKIKISHENI WATOTO WANAKULA ILI KUUJENGA UBONGO!!.
2.. Wekezeni Kwa dhati kwenye Elimu .
Mtoto ambaye tayari amekula, ubongo umetulia, anahitaji Mwalimu Bora wa Hesabu, anahitaji Mwalimu Bora wa kingereza ... Unataka Mwanafunzi afaulu hesabu alafu Mwalimu mwenyewe sio mjuzi wa Hesabu niile tu ni Mwalimu kwamba anaweza fundisha lolote Somo???
3-Toeni Motisha Kwa Walimu, Sisi Walimu tuna msemo wetu tunasema "uzuri mwisho wa mwezi mshahara unaingia" .....Hawa Walimu wanahitaji Motisha, mbona Afya tunakula hela mpaka unasema iiihhii Serikali Ina Hela ya kuchezeaa, kwann Walimu msiwakumbuke Kwa Motisha, msiwafanye wakajihisi kunipenda kazi .... Hivi mnajua, Mwalimu wa Tanzania ndio kiumbe mwenye stress za Maisha kuliko hata Mama Ntilie??. Mwalimu anastress za Maisha, anaingia kazin anakutana na Juma macho makubwa haadiki notice Kwa mwezi mzima, mnataka afanyeje ??? Mbona mahela mengi mnayapiga Kwa ufisadi Kila kukicha ?.
4-Wapeni Waalimu Uhuru wa Utumiaji Bakora Ndani ya Darasa kama sehem ya kufundishiaa , Mwalim anafundisha Kuna mtoto anapiga kelele chapa Fimbo , katoa H/Work hujafanya, chapa fimbooo !!.
na Mwalimu atapima Saikolojia ya mtoto Mmoja dhidi ya mwingine IKIWA huyu anaweza elewa Kwa Fimbo, au huyu anahitaji kuelewa Kwa ushauri .... TUSIMUONDOLEE MWALIMU UHURU WA KUTUMIA FIMBO !!.
5-Tuwaboreshee mazingira ya utendaji kazi Hawa Walimu wetu, Madarasa , maabara, michezo pia tuguse.
KWA AJILI YA NIDHAMU
1-Wazazi waache ujinga, Wazazi waache kusukumia nafasi zao Kwa watu wengine, Wazazi ndio Walimu wakwanza wa watoto, Wazazi wawajibike, na WAWACHAPE WATOTO WAO FIMBO, FIMBO HAIUI, CHAPENI WATOTO, MSIWALEE KIMAANDAZI MAANDAZI .
2-WALIMU WASIONDOLEWE NAFASI YAO YA UTUMIAJI WA FIMBO KUREKEBISHA TABIA ., ACHENI WATOTO WACHAPWE MAKALION ILA UWEKWE UTARATIBU MZURI TU NA WALIMU WAUFATE.
3-VIONGOZI WA DINII, MMELALA SANAA,. VIONGOZI WA DINI WAMELALA, NA KUSHUKA KWA NIDHAM ZA WATOTO KWA UJUMLA ,KWA NAMNA MOJA NI MATOKEO YA DINI ZETU KUJIKITA KWENYE MAFUTA YA UPAKO , CHUMVI, UTAJIRI, FEDHA, MAGARI, WANASAHAU KUNA KIZAZI KINACHOHITANI MALEZI, VIONGOZI WA DINI WANAKULA MUDA WA WAZAZI MPAKA WAZAZI WANASHINDWA TIMIZA WAJIBU WAO HOME, HAO HAO VIONGOZI WA DINI , HUWEZ KUTA WANAFUNDISHA JUU YA MALEZI YA WATOTO, KUWAFUNZA WATOTO N.K!!.
4-MTOTO WA MWENZIO NI WA KWAKO, JAMII USIMPUUZE KUMREKEBISHA MTOTO WA MWENZIO.
5-TUMTANGULIZE MUNGU MBELE , KWA SASA PAMBANO KUU NI BAINA YA SHETANI BABA WA MAOVU ,DHIDI YA UUNGU UTAKATIFU... TUMTANGULIZE MUNGU MBEKE., TUOMBEE WATOTO WETU!!.
Kwa hiyo ww ukikosea serikali ikakufunga inakuwa imekufanyia ukatiri na sio kulipia makosa uliyo yafanya?Kama ulishawahi kupendwa katika maisha yako na Wazazi/Mlezi huwezi kuthubutu kumfanyia ukatili mtoto wako mwenyewe damu yako, ni sawa na Mwanamke ambaye ameolewa anapigwa kila na Mume wake lkn bado anarudi na kumtetea mtesi wake, hiyo ni psychological problem, kama ulipendwa na kukulia maisha ya amani na furaha utajua upendo ni nini lkn kama ulikosa upendo ni ngumu kujua na ndio maana kwako unaona ni kawaida kutesa mtoto wako damu yako mwenyewe!
Hii nimeipenda na ndio ukweli. "Hao hao walio sema kuwa kupiga mtoto ni ukatiri ndo hao hao walio sema kufanya ushoga na kutoa mimba ni halali."Hao hao walio sema kuwa kupiga mtoto ni ukatiri ndo hao hao walio sema kufanya ushoga na kutoa mimba ni halali.
Kufananisha mfumo wa maisha wa mnyama na binadamu ni upumbavu maana ni mifumo miwili tofauti kabisa.
Kwani mnyama akiuwa au akijeruhi huwa nafungwa jera kama binadamu anavyo fungwa?
Binadamu ameubwa katika mfumo ambao ili haache makosa ni lazima ayajutie na ili ayajutie ni lazima haadhibiwe pale anapo fanya makosa.
Kwahiyo ww mtoto wako akikosea huwa unamuita na kufanyia sherehe na kumpongeza?
Kwa hiyo ww ukikosea serikali ikakufunga inakuwa imekufanyia ukatiri na sio kulipia makosa uliyo yafanya?
Adhabu na ukatiri vina husiana nn? Ukatiri kwa mtoto utafisirika pale utakapo mpa adhabu kubwa na isiyo endana na umri wake na kosa lake.
Kwani mtoto akikosea ukachukua kafimbo kadogo ukamcharaza tuviboko tutatu huyo mtoto atapungukiwa na nn?
Huwezi kusema una upendo kwa mtoto alafu awe anafanya mambo ya kumpoteza alafu unamuacha kwa kigezo cha eti kupiga mtoto ni ukatiri.
Nimekuuliza swali hujanijibu ww mtoto wako huwa akikosea huwa unamuita na kumpongeza na kufanyia sherehe?
Sidhani uko sahihi sana mkuu. Mwanao unamleaje?Unamlea peke yako? Mtoto unayempenda kwa kawaida mzazi huwa unatamani kwamba hapo baadaye ajekuwa ni mtu wa namna fulani ndani ya Jamii. Upendo ni pamoja na kumrudi (kumpa adhabu) ili ajitambue kwamba alichofanya sio kitu chema au kizuri. Zipo njia nyingi za kumfundisha atambue mambo mema na mabaya. Wewe kama mzazi utatamani aache na kuepuka yale mabaya na azingatie kutenda yale mema siku zote na mwishowe hiyo ijijenge kwake na iwe ndio tabia yake.Kwa nini umpe mtoto adhabu? Hiyo ni psychopathy, hilo la Serikali kutoa adhabu ni kwa criminals sidhani kama unataka kumfananisha mtoto wako damu yako na criminals ambao wanafungwa na Serikali ili kuprotect jamii.
Kama umelelewa kwa upendo na amani huwezi mpa adhabu mtoto damu yako, hiyo wording peke yake kwamba adhabu inaonyesho ukosekano wa upendo!
Ni kweli fimbo haiwezi kuwa solution kwa karne hii bali ni mojawapo kati ya mbinu nyingi zinazoweza kutumika ili kufikia lengo.Hoja zako ni nzuri,,but bado fimbo haiwezi kuwa solution kwa karne hii.
Hoja hii "Adhabu na ukatiri vina husiana nn? Ukatiri kwa mtoto utafisirika pale utakapo mpa adhabu kubwa na isiyo endana na umri wake na kosa lake.Kwa hiyo ww ukikosea serikali ikakufunga inakuwa imekufanyia ukatiri na sio kulipia makosa uliyo yafanya?
Adhabu na ukatiri vina husiana nn? Ukatiri kwa mtoto utafisirika pale utakapo mpa adhabu kubwa na isiyo endana na umri wake na kosa lake.
Kwani mtoto akikosea ukachukua kafimbo kadogo ukamcharaza tuviboko tutatu huyo mtoto atapungukiwa na nn?
Huwezi kusema una upendo kwa mtoto alafu awe anafanya mambo ya kumpoteza alafu unamuacha kwa kigezo cha eti kupiga mtoto ni ukatiri.
Nimekuuliza swali hujanijibu ww mtoto wako huwa akikosea huwa unamuita na kumpongeza na kufanyia sherehe?
Yah ni kweli.Ni kweli fimbo haiwezi kuwa solution kwa karne hii bali ni mojawapo kati ya mbinu nyingi zinazoweza kutumika ili kufikia lengo.
Na fimbo isivuke mipaka (izingatie umri na aina ya kosa, na kosa limerudiwa mara ngapi ) isije ikageuka na kuwa ni ukatili kwa mtoto.Yah ni kweli.
That's not true Bro!!!Adhabu ya viboko kwa watoto ni barbaric na mojawapo ya adhabu za hovyo sana katika karne ya 21.
Hapo hapo kwenye kushughulikia Taaluma, Kuna wanafunzi bila kutumia Viboko, hawaelewi kabisa .Mi naona mwalimu ashughulikie taaluma ya mtoto, maswala ya nidhamu amwachie mzazi.
Kama mikono inawasha akachape watoto wake
Alafu Ukatili na Utoaji adhabu ni vitu viwili tofauti.Hoja hii "Adhabu na ukatiri vina husiana nn? Ukatiri kwa mtoto utafisirika pale utakapo mpa adhabu kubwa na isiyo endana na umri wake na kosa lake.
Kwani mtoto akikosea ukachukua kafimbo kadogo ukamcharaza tuviboko tutatu huyo mtoto atapungukiwa na nn?" Ni hoja yenye mashiko
Hiyo ndo Hekima na Busara ya Mzazi anayempenda mwanaye. Hongera mkuu.
Mkuu, una watoto? Unaweza tupa uzoefu mtoto wako anapoksea ? Huwa huna makaripio ya ukali kwake!?? Huwa huchapi ?.Hoja zako ni nzuri,,but bado fimbo haiwezi kuwa solution kwa karne hii.