Kuna viapo na maagano vilifanyika utotoni

Kuna viapo na maagano vilifanyika utotoni

Je kuna uwezekano wa mtu kutumia nyota ya mtu mwingne kama upo ebu nielekeze inakuaje na ni madhara gani yanampata yule alochukuliwa nyota yake
Kuna somo la vivuli takutag...hayo mambo yapo lakini si kila mganga /mchawi anaweza kufanya
 
Hivi wazungu hawana hayo maagano..?..maake huu ujinga umetamalaki kwetu huku uswahilin tu
 
Hivi wazungu hawana hayo maagano..?..maake huu ujinga umetamalaki kwetu huku uswahilin tu
Ni sawa na kutaka kuonyeshwa aliens Africa..! Unamkumbuka huyu?
1470160389946.jpg
 
Kuna vitu vingi katika maisha yetu ya kila siku vingine mpaka uwe na jicho la tatu au mtu akafunulie vinginevyo unaweza kuwa unabisha sababu hayajakukuta.
 
Kuna familia mpaka unashangaa madhira yanayoikuta kama vile wanaishi ulimwengu mwingine na kama shule wanayo nzuri tu ila maendeleo hayaonekani
Wajitafakari...wakiamua kuweka usasa kando wakaamua kufuatilia hufanikiwa kujua tatizo liko wapi
 
Kurudi kijijini na kuanza kutrack matukio yote ya ukoo na simulizi pia ..fulani alikuwa nani alifanya nini aliacha wosia gani nk nk
Ila fasihi hiii huweza change na sio ya kutegemea sana, unaweza pata false inf
 
Back
Top Bottom