Kuna viapo na maagano vilifanyika utotoni

Kuna viapo na maagano vilifanyika utotoni

View attachment 374994sifa moja nzuri kwa mtoto anayotakiwa kuwa nayo ni utii, asibishane na wakubwa na akubali bila maswali yale anayoambiwa, hili ni jukumu la mzazi/mlezi
Bahati mbaya sana kuna baadhi ya wazazi na walezi wameitumia hii hakimiliki vibaya..kuwafundisha watoto mambo mabaya au kuwaingiza watoto kwenye viapo na maagano yasiyofaa
Maagano mabaya kabisa ni haya yanayohusisha damu..damu ni kitu hai hivyo hutengeneza roho View attachment 374996tumeshuhudia wimbi kubwa la watoto wakiwa wachawi mahiri tena wanaofanya mambo ya kutisha hasa...tumeshuhudia ukubwani watu wakiteswa na mapepo yasiyojulikana chanzo chake au kuwa vigumu mno kufuatilia chanzo chake
Wakati huo unakuta wazazi au walezi wanakuwa tayari hawapo duniani na hawakuacha maandishi yoyote kwa kile walichofanyia watoto
Tunaweza kufanya mambo kwa nia njema kabisa lakini tukumbuke kuacha formula ya yale tuliyoyafanya
Hizi ishu za kinga ujasiri na kutengeneza bahati kwa watoto wetu twende nazo kwa tahadhari kubwa kwakuwa huwa na vigezo na masharti na huwa na expire date
Kisusio
 
Sasa mshana jr mtu hyo ikatokea akaokoka then akajisahau na kurud kweny maisha ya kawaida ile kinga si itaendelea kama kawaida....?
Inawezekana kabisa kwa imani ya kikristo lakini ndani ya Buddhism hiyo ni karma
 
Hayaa maagano yanakuwa valid hata kama alie ku link kutowepo??

Utajuaje kama unayo haya??

Maana hata kuna wazazi wengine hufanya haya wakijua kuwa ni mila tu kumbe ni maagano

-ndoto za kutisha zisizoisha
-magonjwa ya mara kwa mara na magumu kutibika
-mambo kuharibika hasa kwenye mahusiano kazi na biashara
Hizi ni baadhi tu lakini isichukuliwe ndio sababu kwenye kila jambo
Leo nimekaa bado kidogo nicheke kwa haya maswali niliyokuwa nikikuuliza.
Maana kwa sasa majibu yake yapo , GOD is good.

Inshort ni kuwa maarifa ya kimungu, na siri za rohoni ni muhimu mno.

Endapo ukakosa maarifa utaangamia HOSEA4:6. Lakini yote kwa yote ukiwa huna maarifa unaweza teseka na kufaa njaaa haijalishi wewe nani.

Isaya 5:13
[13]Kwa sababu hiyo watu wangu wamechukuliwa mateka, kwa kukosa kuwa na maarifa; na watu wao wenye cheo wana njaa, na wengi wao waona kiu sana.


Ndo maana wafalme walikuwa na watu wao wenye maarifa (manabii , waganga etc) ili waeze kuwasaidia regardeless na cheo chao.

Sasa kama mtu ukiwa hujui kuhusu maagano na maarifa mengine utasumbuliwa sana.


Brother tutakutana pM kesho. Tusemazane kuhusu vitu.
 
Leo nimekaa bado kidogo nicheke kwa haya maswali niliyokuwa nikikuuliza.
Maana kwa sasa majibu yake yapo , GOD is good.

Inshort ni kuwa maarifa ya kimungu, na siri za rohoni ni muhimu mno.

Endapo ukakosa maarifa utaangamia HOSEA4:6. Lakini yote kwa yote ukiwa huna maarifa unaweza teseka na kufaa njaaa haijalishi wewe nani.

Isaya 5:13
[13]Kwa sababu hiyo watu wangu wamechukuliwa mateka, kwa kukosa kuwa na maarifa; na watu wao wenye cheo wana njaa, na wengi wao waona kiu sana.


Ndo maana wafalme walikuwa na watu wao wenye maarifa (manabii , waganga etc) ili waeze kuwasaidia regardeless na cheo chao.

Sasa kama mtu ukiwa hujui kuhusu maagano na maarifa mengine utasumbuliwa sana.


Brother tutakutana pM kesho. Tusemazane kuhusu vitu.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] Mungu ni mwema sana natumai ukiangalia nyuma kule ulikotoka unaona vitu katika mtazamo tofauti kabisa
 
Back
Top Bottom