Vya Africa ni cha mtoto kwa hawa watu weupe. ...wazungu, wachina, wahindi, nk. ..Hivi wazungu hawana hayo maagano..?..maake huu ujinga umetamalaki kwetu huku uswahilin tu
Haya mambo ni magumu kusema ndio au hapana moja kwa moja. ...lakini Maranyingi dini huweza kufuta laana maagano na viapo vya ukoo au vya udogonimshana jr mimi nahitaj kujua kama mtu amechanjiwa kinga alaf baada ya muda kidogo yule mtu akaamua kufuata dini kikamilifu. je yule mtu atakuwa na kinga mbili yaan ile ya kuchanjwaa ana kule kushika dini(mfano mkristo akaamua kuokoka)?. au ile dini yake itaaondoa ile kinga aliyokuwa nay kutoka kwa mtaalam na abakiwe na ile ya dini?
Kuna baadhi ya masharti hutakiwi kusema kila kitu...na hili ndio tatizo kubwa kwenye haya mambo...!Mashana jf kuna tukio moja lilitokea Mzee mmoja alikuwa na ng'ombe wake, mke wake alikuwa analazimisha wamchinje lakini yeye alikuwa anakataa kuna SIKU yule Mzee kaondoka lakin wakati aliporudi nyumban kwake kakuta yule Ng'ombe mke wake kamchinja kawatuma watu na pale pale Mzee kadondoka na yeye kafaa.Matukio kama haya MTU anakabiziwa kitu lakini hamwambii mwenzake kuwa uhai wangu unashikiliwa na hiki kitu ndo masharti yenyewe
mshana kwan mtu alichanjia si huwa ile dawa inaendelea kuwa mwilini kwake mpaka itakapoisha muda wake ata kama yule mtu akiamua kuokoka kikamilifu?Haya mambo ni magumu kusema ndio au hapana moja kwa moja. ...lakini Maranyingi dini huweza kufuta laana maagano na viapo vya ukoo au vya udogoni
Yeah.Inabidi wazazi wasiwe wanahusisha watoto kwenye hayo mambo make wanawaingiza watoto kwenye maagano wasioyajua, wajifanyie wenyewe
Wokovu unaweza kukusaidia tu kwa maisha mapya ya kiroho na kuacha hicho kitu kikifa taratibu japo hakitakuwa na madhara tena kama zamanimshana kwan mtu alichanjia si huwa ile dawa inaendelea kuwa mwilini kwake mpaka itakapoisha muda wake ata kama yule mtu akiamua kuokoka kikamilifu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hili tego hili...hatari sana! Shida ni kwamba wajuzi wake ni wachache sanaMshana jr,mie inaniachaga hoi ile ya mtu kutembea na mke au mume wa mtu,halafu wanang'ang'aniana hadi mwenye mali aje kufanya dawa,dah waafrika kiboko aisee.
Sasa mshana jr mtu hyo ikatokea akaokoka then akajisahau na kurud kweny maisha ya kawaida ile kinga si itaendelea kama kawaida....?Wokovu unaweza kukusaidia tu kwa maisha mapya ya kiroho na kuacha hicho kitu kikifa taratibu japo hakitakuwa na madhara tena kama zamani